Uchaguzi 2020 Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson atangaza nia ya kugombea Ubunge Mbeya

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368

Naibu Spika wa Bunge la Dkt. Tulia Ackson ameweka wazi nia ya kugombea Ubunge Mbeya japokuwa hajaweka wazi jimbo atakalogombea

Naibu huyo amesema atatoa taarifa kuhusu Jimbo hilo muda utakapofika. Dk. Tulia aliteuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum na Rais Magufuli Novemba 16, 2015

Alichaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge Novemba 19, 2015
 
Kumekucha!!
Kumekucha!!!
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜„πŸ˜ƒ
 
Naibu Spika wa Bunge la Dkt. Tulia Ackson ameweka wazi nia ya kugombea Ubunge japokuwa hajawekwa wazi jimbo ambalo atagombea

Naibu huyo amesema atatoa taarifa kuhusu Jimbo hilo muda utakapofika. Dk. Tulia amekuwa Naibu Spika tangu mwaka 2015
Akitaka aibu, agombee kwa Sugu!
 
Huyu maza anachokitafuta atakipata..kama si kuwaponza mapolice basi itakuwa Tume ya uchaguzi au Mkurugenzi mtangaza matokeo

Uchaguzi wa mwaka huu unaelekea utakuwa mtama balaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…