Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sugu ndo nani
Mkuu inaonekana "Lugha ya Kisiasa" imekupiga chenga.Anamuogopa Rais wa Mbeya
miaka yote hii hakujiandaa?
hajui hata jimbo analogombea
Sasa flat screen inauhusiano gani na ubunge? JamaniPale Mbeya mjini asijisumbue ...mtu mwenye flat screen nyuma naye anautaka ubunge.
Mdanganyeni ili mkamlie takrima zakeMbeya inakuhitaji. njoo uitumikie
Tatizo kashfa za mlevi wa taifa zitaathiri kampeni za ChademaAtauweza mziki wa sugu?
Mbeya mjini amepita. Anakubalika sana.
Akitaka aibu, agombee kwa Sugu!
[/QUOT
Safari hii Sugu Chali, Tulia anaibuka kidedea kabla ya Musa ya kwanza haijaisha
eti nyuma uwe na TV ya kichogo kwa wanamama.
Karibu Jimboni Mbeya. Wananchi Wana hamunya Maendeleo.
Naibu Spika wa Bunge la Dkt. Tulia Ackson ameweka wazi nia ya kugombea Ubunge Mbeya japokuwa hajaweka wazi jimbo atakalogombea
Naibu huyo amesema atatoa taarifa kuhusu Jimbo hilo muda utakapofika. Dk. Tulia aliteuliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum na Rais Magufuli Novemba 16, 2015
Alichaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge Novemba 19, 2015
Nani huyo ? Mfalme wa Faru John na pupuchi. Kama ndio huyo Bora abaki na Uenyekiti sababu akienda Machame hawamtaki labda kwenda kuwasalimia au kwa maziko.Tatizo kashfa za mlevi wa taifa zitaathiri kampeni za Chadema
Ni kiazi fulani hivi mbunge wa mbeyaSugu ndo nani