Uchaguzi 2020 Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson atangaza nia ya kugombea Ubunge Mbeya

Anazuga kutotangaza Jimbo sahivi wakati miaka yote anazurula Mbeya mjini na rushwa zake za hapa na pale.....anaenda kuaibika
 
Kwa taarifa hii, kuna mh mbunge atarudi kwenye muziki wakati yawezekana tayari muziki haumuhitaji kwa sasa
 
Karibu Jimboni Mbeya. Wananchi Wana hamunya Maendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…