Naibu Spika Zungu anapolalamika kuwa makampuni ya simu na mabenki yanawatoza wateja pesa nyingi, je anajua gharama za uendeshaji wa makampuni hayo?

Naibu Spika Zungu anapolalamika kuwa makampuni ya simu na mabenki yanawatoza wateja pesa nyingi, je anajua gharama za uendeshaji wa makampuni hayo?

Kwanini benki zinakata monthly charges wakati kila muamala wanakata chao?
 
Actually Yuko sahihi kwamba kuna haja ya kufanya review ya bei za huduma hasa za kutuma na kutoa hela kwa simu kama zinaendana na uhalisia. Shida ni nia ya mtoa hoja. Angekuwa ameileta kutetea walaji tungemuunga mkono, lakini kusema wanapata zaidi ya serikali ni kama wivu wa Yanga Kwa CAF.
 
Tumemsikia Naibu Spika, Mussa Zungu, akielezea kuhusu tozo zilizolalamikiwa Sana na wananchi, hadi Serikali ikasalimu amri na kuahidi kuzipunguza tozo hizo kuanzia tarehe 1 mwezi ujayo.

Katika maelezo yake alidai eti wananchi wanachujua ni kuilalamikia Serikali kuhusu tozo wanazotoza kwenye miamala hiyo ya simu, lakini wanasahau kuwa makampuni hayo ya simu na mabenki ndiyo yanayotoza kiwango kikubwa zaidi!

Akaendelea kudai kuwa eti tozo tunazolalamikiwa na wananchi ni kwa manufaaa yetu, kwa kuwa ndizo zinazojenga madarasa na vituo vya afya!

Hivi huyu Zungu, anatufanya sisi watanzania wote ni wajinga kiasi hicho, ambacho anaweza kutudanganya atakavyo?

Hivi Hawa CCM wanaopenda kutumia hii propaganda ya kuwa hizo tozo ndizo zinazojenga madarasa na vituo vya afya, nipende tu kuwauliza swali moja, hivi hizi pesa za mikopo ya World Bank na IMF, ambayo tulikuwa tunaambiwa kuwa wamekopa Ili kujengea madarasa na vituo vya afya, pesa hizo zimefanya Kazi gani?

Hawa watawala wetu wanaopenda kutuibibia sisi wananchi wao kwa kupitia hizo tozo, Ili wao waishi Katika Maisha ya kifahari ya kupindukia!

Hivi inawezakanaje wawakilishi wetu ambao ni wabunge, watembelee magari ya anasa Sana ya mavi-eite ya shilingi milioni 400, yakiwa yanagharimikiwa kila kitu na walipa kodi wa nchi hii masikini Sana, halafu asingizie kuwa wanajenga madarasa na vituo vya afya?

Hivi huyu Zungu anawezaje kuilinganisha Serikali na hayo makampuni Katika utozaji wa tozo hizo?

Hivi anajua gharama za makampuni ya simu hapa nchini, ikiwemo kujenga minara, ofisi kwa ajili ya uendeshaji na kuwalipa mishahara wafanyakazi wake, pamoja na kuwalipa kodi mbalimbali kea Serikali hiyo hiyo?

Hivi anawezaje kujilinganisha na makampuni hayo na Serikali, wakati inajulikana wazi kuwa hao Serikali, wanachojua ni kuchukua tozo hizo, wakati hawajawekeza chochote?

Kwa hiyo ni dhahiri huo ni ulafi wa kupitiliza unaowakabili viongozi we serikali hii kandamizi ya CCM, ndiyo unaomfanya huyo Naibu Spika Mussa Zungu, atetee kwa nguvu zote hizo tozo, ambazo zimekataliwa kwa nguvu ya Umma wa wananchi wa nchi hii.

Kifupi tu mwisho wa matozo ya nchi hii, ni kuandika Katiba mpya ya wananchi, itakayoyokana na maoni yetu tuliyoyatoa kupitia kwenye Rasibu ya Warioba.

Mungu ibariki Tanzania
Hakuna anayejitambua humo Bungeni, ipo haja kufanya cleaning kwa steel wool na msasa ikibidi by 2025
 
Hakuna anayejitambua humo Bungeni, ipo haja kufanya cleaning kwa steel wool na msasa ikibidi by 2025
Nakuubga mkono kwa asilimia 100.

Hao wabunge, ambao wote ni wa CCM, ni wwupe kabisa
 
Tumemsikia Naibu Spika, Mussa Zungu, akielezea kuhusu tozo zilizolalamikiwa Sana na wananchi, hadi Serikali ikasalimu amri na kuahidi kuzipunguza tozo hizo kuanzia tarehe 1 mwezi ujayo.

Katika maelezo yake alidai eti wananchi wanachujua ni kuilalamikia Serikali kuhusu tozo wanazotoza kwenye miamala hiyo ya simu, lakini wanasahau kuwa makampuni hayo ya simu na mabenki ndiyo yanayotoza kiwango kikubwa zaidi!

Akaendelea kudai kuwa eti tozo tunazolalamikiwa na wananchi ni kwa manufaaa yetu, kwa kuwa ndizo zinazojenga madarasa na vituo vya afya!

Hivi huyu Zungu, anatufanya sisi watanzania wote ni wajinga kiasi hicho, ambacho anaweza kutudanganya atakavyo?

Hivi Hawa CCM wanaopenda kutumia hii propaganda ya kuwa hizo tozo ndizo zinazojenga madarasa na vituo vya afya, nipende tu kuwauliza swali moja, hivi hizi pesa za mikopo ya World Bank na IMF, ambayo tulikuwa tunaambiwa kuwa wamekopa Ili kujengea madarasa na vituo vya afya, pesa hizo zimefanya Kazi gani?

Hawa watawala wetu wanaopenda kutuibibia sisi wananchi wao kwa kupitia hizo tozo, Ili wao waishi Katika Maisha ya kifahari ya kupindukia!

Hivi inawezakanaje wawakilishi wetu ambao ni wabunge, watembelee magari ya anasa Sana ya mavi-eite ya shilingi milioni 400, yakiwa yanagharimikiwa kila kitu na walipa kodi wa nchi hii masikini Sana, halafu asingizie kuwa wanajenga madarasa na vituo vya afya?

Hivi huyu Zungu anawezaje kuilinganisha Serikali na hayo makampuni Katika utozaji wa tozo hizo?

Hivi anajua gharama za makampuni ya simu hapa nchini, ikiwemo kujenga minara, ofisi kwa ajili ya uendeshaji na kuwalipa mishahara wafanyakazi wake, pamoja na kuwalipa kodi mbalimbali kea Serikali hiyo hiyo?

Hivi anawezaje kujilinganisha na makampuni hayo na Serikali, wakati inajulikana wazi kuwa hao Serikali, wanachojua ni kuchukua tozo hizo, wakati hawajawekeza chochote?

Kwa hiyo ni dhahiri huo ni ulafi wa kupitiliza unaowakabili viongozi we serikali hii kandamizi ya CCM, ndiyo unaomfanya huyo Naibu Spika Mussa Zungu, atetee kwa nguvu zote hizo tozo, ambazo zimekataliwa kwa nguvu ya Umma wa wananchi wa nchi hii.

Kifupi tu mwisho wa matozo ya nchi hii, ni kuandika Katiba mpya ya wananchi, itakayoyokana na maoni yetu tuliyoyatoa kupitia kwenye Rasibu ya Warioba.

Mungu ibariki Tanzania
Zungu kama jina lake kuna cha kujifunza kwenye teuzi zetu. Waliwaacha vijana wenye akili wakamuweka mtu ambaye wanamjuwa. Wacha wayaone wenyewe
 
Kaua watu kwa sembe anataka kuua tena kwa tozzo
 
Back
Top Bottom