Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ametoa onyo kali kwa Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga

Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ametoa onyo kali kwa Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ametoa onyo kali kwa Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga ambapo amesema Jumatatu ijayo, tarehe 3 Aprili, itakuwa ya mwisho kuandamana.

Gachagua amesema hayo huko Malava kaunti ya Kakamega ambako alihudhuria sherehe ya kutoa shukran kwa ajili ya Uchaguzi wa Mbunge wa Jimbo hilo Injenda Malulu.

"Nataka niwahakikishie watu wa Kenya kuwa hakuna atakayeruhusiwa kuharibu mali tena. Serikali sasa itaonesha nguvu yake kamili." Amesema Gachagua.

"Natoa kwa vijana wanaotumika na Raila Odinga kuwa Jumatatu itakuwa siku yao ya mwisho kuharibu na kuiba mali. Ninyi ni wahuni na tutawashughulikia." Ameongeza Gachagua.

Onyo hili la Gachagua linakuja saa chache tu baada ya Raila Odinga kutangaza kuwa maandamano ya Jumatatu ijayo yatakuwa 'Mama wa maandamano ' yote kuwahi tokea Kenya.
 
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ametoa onyo kali kwa Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga ambapo amesema Jumatatu ijayo, tarehe 3 Aprili, itakuwa ya mwisho kuandamana.

Gachagua amesema hayo huko Malava kaunti ya Kakamega ambako alihudhuria sherehe ya kutoa shukran kwa ajili ya Uchaguzi wa Mbunge wa Jimbo hilo Injenda Malulu.

"Nataka niwahakikishie watu wa Kenya kuwa hakuna atakayeruhusiwa kuharibu mali tena. Serikali sasa itaonesha nguvu yake kamili." Amesema Gachagua.

"Natoa kwa vijana wanaotumika na Raila Odinga kuwa Jumatatu itakuwa siku yao ya mwisho kuharibu na kuiba mali. Ninyi ni wahuni na tutawashughulikia." Ameongeza Gachagua.

Onyo hili la Gachagua linakuja saa chache tu baada ya Raila Odinga kutangaza kuwa maandamano ya Jumatatu ijayo yatakuwa 'Mama wa maandamano ' yote kuwahi tokea Kenya.
Huyu mwamba angekuwa ndiye Rais huyu Jaduong' asingethubutu!
 
Raia wa Kenya wana hasira..... naona wengine wamewakimbiza polisi baada ya kumoiga askari mmoja na manati (jiwe la kifua/naskia alifariki) hadi akaangika na kuzirai papo hapo, kisha wakawapora askari gari lao na wakaanza kula nalo misele na bata mtaani...😂😂
 
Odinga siku zake za neema ziko ukingoni
Gachagua amerudisha detention without trial Kenya? Vyumba vya mateso Nyayo house vimeandaliwa? Kumkamata Raila ni kumongezea umaarufu, millions of Kenyans will line up to bail him out. This man Raila is unstoppable. In the words of late Sheikh Abdillahi Nassir-a leader is not elected, a leader springs out and the people acknowledge him-Raila is the leader.
 
Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ametoa onyo kali kwa Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga ambapo amesema Jumatatu ijayo, tarehe 3 Aprili, itakuwa ya mwisho kuandamana.

Gachagua amesema hayo huko Malava kaunti ya Kakamega ambako alihudhuria sherehe ya kutoa shukran kwa ajili ya Uchaguzi wa Mbunge wa Jimbo hilo Injenda Malulu.

"Nataka niwahakikishie watu wa Kenya kuwa hakuna atakayeruhusiwa kuharibu mali tena. Serikali sasa itaonesha nguvu yake kamili." Amesema Gachagua.

"Natoa kwa vijana wanaotumika na Raila Odinga kuwa Jumatatu itakuwa siku yao ya mwisho kuharibu na kuiba mali. Ninyi ni wahuni na tutawashughulikia." Ameongeza Gachagua.

Onyo hili la Gachagua linakuja saa chache tu baada ya Raila Odinga kutangaza kuwa maandamano ya Jumatatu ijayo yatakuwa 'Mama wa maandamano ' yote kuwahi tokea Kenya.
Huyu mwizi wa pesa za County ya kwale zaidi ya Kshs. 200ml, lazima ang'oke... bila Wa-Venezuela kuingilia na kuchakachua Server za IEBC asingekuwa makamu waraisi....
 
Gachagua amerudisha detention without trial Kenya? Vyumba vya mateso Nyayo house vimeandaliwa? Kumkamata Raila ni kumongezea umaarufu, millions of Kenyans will line up to bail him out. This man Raila is unstoppable. In the words of late Sheikh Abdillahi Nassir-a leader is not elected, a leader springs out and the people acknowledge him-Raila is the leader.
Ngoja tuone ila kwa wakina Ruto mambo sio rahisi kabisa kwa Odinga
 
Mnavyo muona ondinga mjinga kuwafanya wakenya waandamane ndivyo nawaona wabongo wajinga kufumbia macho mambo yenu huku mnakatazwa kuandama, mnakasirika wenzenu wanaandama mnamtukana odinga wabongo akili hamna
 
Mnavyo muona ondinga mjinga kuwafanya wakenya waandamane ndivyo nawaona wabongo wajinga kufumbia macho mambo yenu huku mnakatazwa kuandama, mnakasirika wenzenu wanaandama mnamtukana odinga wabongo akili hamna
Hao viongozi wanaowashawishi muandamane wakiwepo mbele ya maandamano bc ht Mm ntaandamana
 
Ruto ana madaraka , Odinga hana madaraka , mwisho wa siku Ruto atakuwa mshindi
Sasa mbona kabow down na kuomba wakae mezani? Si angetumia sasa hayo madaraka yake.Hivi unamchukulia poa mtu mwenye wafuasi zaidi ya 6M? Usidhani Ruto ni mjinga kuomba wakae mezani
 
Ruto ana madaraka , Odinga hana madaraka , mwisho wa siku Ruto atakuwa mshindi
Ww odinga sio lisu au mbowe sawa? Odinga hakugusiki na ukijaribu kufanya hivo utaigawa Kenya vipande kwa machafuko ya kutisha..huyo mzee muone tu hivo ila hata hao kina wanajua nguvu zake
 
Back
Top Bottom