ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Kama ni kweli angekuwa Rais wa Kenya mda mrefu, kwanini kila siku wana mzidi ujanja wengine?Ww odinga sio lisu au mbowe sawa? Odinga hakugusiki na ukijaribu kufanya hivo utaigawa Kenya vipande kwa machafuko ya kutisha..huyo mzee muone tu hivo ila hata hao kina wanajua nguvu zake