Wacha inyeshe..Ishakuwa balaa
Naye usikute anatengeneza mazingira ya kupata rushwa, maana nchi hii ni kiboko..kwanini Balile hakumtaja Naibu Waziri siku ile alipopewa nafasi ya kuzungumza mbele ya Makamu wa Raisi?
Balile siyo wa kumuamini sana ni ntu wa diliNaye usikute anatengeneza mazingira ya kupata rushwa, maana nchi hii ni kiboko
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Na usikute drama lile la Balile ni mchongo tuu na umeratibiwa hukohuko Serikalini na ndani ya CCM kutukoroga ili ionekane kuna mambo ya maana yanatendeka huko ndani.Naibu waziri wa wizara gan
Habari imekaa kiudaku udaku