Naibu Waziri Mkuu ni Waziri WA Nishati, sasa Leo SAA 12 asubuhi umeme umekatika, hii inaonyesha ni mgao WA umeme. Naomba ulishughulikie Hilo. Na pia Kwa sababu umepewa hukumu la kuratibu, kuna hiki la SGR Vs Manus ya Wabunge wetu na mawaziri , au mpaka DP weldi na hao wafanya biashara wachukue SGR yetu ndio ufanye KAZI.
Na kuna hiki la Bandari jumps DP weldi au tuendeshe wenyewe Kwa kukopa. Hizo nyenzo na upanuzi WA Bandari
UK umeme ukikatika waziri ndio anawajibika Kwahiyo na yeye anakula sahani moja na wa chini yakeMitanzania sijui tukoje? Kwahiyo kiukweli kabisa tunaamini mwanasiasa aitwae waziri ndio huwa anakata na kuwasha umeme?
Hizi shule za siku hizi kweli zinafundisha ujinga
UK umeme ukikatika waziri ndio anawajibika Kwahiyo na yeye anakula sahani moja na wa chini yake
Ungekatika wewe saa 12 asubuhi. Time za kukatika wewe unatafuta umeme.Naibu Waziri Mkuu ni Waziri WA Nishati, sasa Leo SAA 12 asubuhi umeme umekatika, hii inaonyesha ni mgao WA umeme. Naomba ulishughulikie Hilo. Na pia Kwa sababu umepewa hukumu la kuratibu, kuna hiki la SGR Vs Manus ya Wabunge wetu na mawaziri , au mpaka DP weldi na hao wafanya biashara wachukue SGR yetu ndio ufanye KAZI.
Na kuna hiki la Bandari jumps DP weldi au tuendeshe wenyewe Kwa kukopa. Hizo nyenzo na upanuzi WA Bandari
Kama ule pendwa kuleee au siyo?CCM sio mtu ni mfumo wa shetani.
Kapewa madaraka makubwa zaidi kuliko hata ya Yesu.Biteko kaangushiwa tu jumba bovu!
Wangemuacha Kipara hapo tuone mwisho wa sarakasi zake za ukarabati wa kituo cha Ifakara.
Sijui angeibuka na porojo gani tena maana siku mbili za service ziliisha 28/08/2023.
UK... sawa kabisa.UK umeme ukikatika waziri ndio anawajibika Kwahiyo na yeye anakula sahani moja na wa chini yake
Anaweza kuzunguka kokote....! Maana hatuambiwi kama Yesu alifika Peru wala Beijing, bali habari za Galilaya na Bethlehem lakini Waziri wa Nje, popote anafika!madaraka makubwa zaidi