FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Yesu amenukuliwa na waandishi wa biblia:Anaweza kuzunguka kokote....! Maana hatuambiwi kama Yesu alifika Peru wala Beijing, bali habari za Galilaya na Bethlehem lakini Waziri wa Nje, popote anafika!
15:24
Mt 15:24 SUV
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.Kondoo wa Tanzania mlitumiwa shetani kwa mujibu wa biblia: