Naibu Waziri Byabato Ashiriki Mkutano wa Nishati Nchini Namibia

Naibu Waziri Byabato Ashiriki Mkutano wa Nishati Nchini Namibia

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

NAIBU WAZIRI BYABATO ASHIRIKI MKUTANO WA NISHATI NCHINI NAMIBIA

Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato ameshiriki Mkutano wa Tatu wa Ushirikiano kati Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Namibia uliofanyika Jijini Windhoek, Namibia tarehe 10 Machi 2023.

Pamoja na mambo mengine Katika mkutano huo kulisainiwa Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Nishati.

Kwa upande wa Wizara ya Nishati, Naibu Waziri Byabato aliambatana na Naibu Katibu Mkuu, Ndugu Athumani Mbutuka na wataalam kutoka Wizara ya Nishati.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-03-11 at 18.53.55.jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-11 at 18.53.55.jpeg
    44.8 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2023-03-11 at 18.53.55(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-11 at 18.53.55(1).jpeg
    54.5 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2023-03-11 at 18.53.55(2).jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-11 at 18.53.55(2).jpeg
    51.9 KB · Views: 5
Back
Top Bottom