naibu waziri kasim majaliwa amepotosha ukweli

naibu waziri kasim majaliwa amepotosha ukweli

venance H

Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
41
Reaction score
24
mapema wiki hii nilinsikia naibu waziri wa tamisemi anayeshughulikia elimu ndugu majaliwa akiuhadaa umma kuhusu mishahara ya walimu wapya, alisema walimu ambao hawajapata mishahara ni kea sababu wamechelewa kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi. hii ni kweli wadau? kweli ccm ni sawa na ukoo wa panya baba ni mwizi mama mwizi mtoto mwizi.
 
Back
Top Bottom