Naibu Waziri Kigahe: Wajasiriamali Wapewe Elimu ya Kurasimisha Biashara

Naibu Waziri Kigahe: Wajasiriamali Wapewe Elimu ya Kurasimisha Biashara

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

NAIBU WAZIRI KIGAHE: WAJASIRIAMALI WAPEWE ELIMU YA KURASIMISHA BIASHARA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe amezitaka mamlaka za Serikali zinazosimamia sekta ya biashara nchini kutoa huduma bora na kuwalea wajasiriamali ili waweze kufanya uzalishaji wenye tija na kuongeza ajira hapa nchini.

Akizungumza katika maonesho ya Tanzanite Manyara Trade Fair, Naibu Waziri Kigahe amezitaka mamlaka za Serikali nchini kuwaelimisha wajasiriamali katika kurasimisha biashara zao huku akionya tabia za mamlaka hizo kuzifungia biashara za wajasiriamali kabla ya kuwafikia.
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2024-10-25 at 17.43.26.mp4
    13.4 MB
Mkuu nikupe hongera, unajitahidi sana kuleta taarifa/habari za Fursa mara kwa mara ila wachangiaji sio wengi,usichoke tupo tunaosoma na kujifunza kitu kipya kupitia bandiko zako,,wewe ni kwangu ni sawa na vyanzo kama Bloomberg, Financial Times au hata CNBC Make It
 
Back
Top Bottom