Naibu Waziri: Mauaji yanayotokea nchini ni fedheha kwa taifa. Naagiza Polisi wayadhibiti

Naibu Waziri: Mauaji yanayotokea nchini ni fedheha kwa taifa. Naagiza Polisi wayadhibiti

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Jumanne Sigini amesema auwaji yanayoendelea nchini ni fedheha kwa taifa na amewataka askari polisi na vyombo vingine vya dola wayakomeshe.

Aidha naibu waziri amesema serikali haihusiku na matukio ya moto yaliyotokea mfululizo hususani kwenye masoko na kwamba masoko hayo ni mali ya serikali hivyo haina sababu ya kuyahujumu.

Source: ITV habari

Kwa mahojiano kamili tazama kipindi cha Dakika 45 saa 3:00 usiku huu
 
Huu ndiyo upoyoyo aliousema Nguromo! eti naagiza wayadhibiti! Nonsense. Sema watafanya nini wayadhibiti, what are the mechanisms ni place to contain those killings? yanasababishwa na nini? Polisi wako wapi?
 
Ugomvi wa mke mme,dem na bwana wake
Wakikongotana mpaka kutoana uhai
Watayadhibiti vp?

Ova
 
Huu ndiyo upoyoyo aliousema Nguromo! eti naagiza wayadhibiti! Nonsense. Sema watafanya nini wayadhibiti, what are the mechanisms ni place to contain those killings? yanasababishwa na nini? Polisi wako wapi?
Hata polisi wanatuhumiwa
 
Nchi ya majuha hii. Acha niishie hapa
Usiishie hapo. Ni ujuha kunuuliza polisi "kwa nini yule mtu kamuua mke wake kwa wivu wa mapenzi?".
Masauni pia aneongea hivyo hivyo. Polisi anaulizwa kwa nini watu wanauana? Polisi waulizwe tu kwa nini wahalifu hawakamatwi? Kwa nini watu wanauana kawaulize psychiatrists.
 
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Jumanne Sigini amesema auwaji yanayoendelea nchini ni fedheha kwa taifa na amewataka askari polisi na vyombo vingine vya dola wayakomeshe.

Aidha naibu waziri amesema serikali haihusiku na matukio ya moto yaliyotokea mfululizo hususani kwenye masoko na kwamba masoko hayo ni mali ya serikali hivyo haina sababu ya kuyahujumu.

Source: ITV habari

Kwa mahojiano kamili tazama kipindi cha Dakika 45 saa 3:00 usiku huu
Huyu angepelekwa MOE kwenye fani yake ya ualimu, huku kwenye mambo ya bunduki angewekwa mwenye taaluma hiyo, huo muda wa kulalamika majukwaani asingekuwa nao ingekuwa full vitendo.
 
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Jumanne Sigini amesema auwaji yanayoendelea nchini ni fedheha kwa taifa na amewataka askari polisi na vyombo vingine vya dola wayakomeshe.

Aidha naibu waziri amesema serikali haihusiku na matukio ya moto yaliyotokea mfululizo hususani kwenye masoko na kwamba masoko hayo ni mali ya serikali hivyo haina sababu ya kuyahujumu.

Source: ITV habari

Kwa mahojiano kamili tazama kipindi cha Dakika 45 saa 3:00 usiku huu
Hawa mawaziri vilaza kweli, polisi watazuiaje mauaji wakati wao ni sehemu ya wanaofanya mauaji
 
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Jumanne Sigini amesema auwaji yanayoendelea nchini ni fedheha kwa taifa na amewataka askari polisi na vyombo vingine vya dola wayakomeshe.

Aidha naibu waziri amesema serikali haihusiku na matukio ya moto yaliyotokea mfululizo hususani kwenye masoko na kwamba masoko hayo ni mali ya serikali hivyo haina sababu ya kuyahujumu.

Source: ITV habari

Kwa mahojiano kamili tazama kipindi cha Dakika 45 saa 3:00 usiku huu
Watu wanauana kwa msongo wa mawazo na ugumu wa maisha
 
Usiishie hapo. Ni ujuha kunuuliza polisi "kwa nini yule mtu kamuua mke wake kwa wivu wa mapenzi?".
Masauni pia aneongea hivyo hivyo. Polisi anaulizwa kwa nini watu wanauana? Polisi waulizwe tu kwa nini wahalifu hawakamatwi? Kwa nini watu wanauana kawaulize psychiatrists.
Polisi wanachangia sn kwa ukatili wao
 
Yani wauwaji wadhibiti mauaji???

Akiuliwa mtoto wa Waziri ndiyo serikali itaongea lugha inayoeleweka na wataacha kumchekea-chekea Siro.
 
Back
Top Bottom