Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko huu mgao wa umeme Arusha ni wa nini?

Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko huu mgao wa umeme Arusha ni wa nini?

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
Sahivi kila siku kuanzia saa 12 jioni umeme unakatwa huku Arusha wilayani Arumeru, kurudi saa 5 usiku, huu ni mgao? Kwanini msitangaze? Huu mgao upo na maeneo mengine ya nchi?

Shida Biteko baada ya kuwa naibu waziri mkuu naona muda mwingi yuko kwenye uzinduzi wa shughuli mbalimbali hajihangaishi na kero za wananchi, tumelalamikia hili suala tangia mwezi wa 6 hakuna kinachobadilika.

PIA SOMA
- Dtk. Biteko: Tumetekeleza agizo la Rais. Mgao wa Umeme imemalizika rasmi
 
Na muda c mrefu tunakuja kuombaa kura zenu wameru
FB_IMG_1715771188553.jpg
 
sikuna meneja wa tanesco wilaya ungemuuliza, sisi huku bariadi hatuna mgao, pia kuna namba ya kastama keya ungepiga ukawauliza, muda mwingine mnajipaga stress bure
 
Back
Top Bottom