Naibu Waziri Mkuu Dotto Biteko ni Turufu Kuu ya Rais Samia katika kupata Kura nyingi za Kanda ya Ziwa

Baada ya uchaguzi atatoswa...
 
Una akili za kijima sana wewe kuli
 
Ondoa hapo neno may be na jua ya kwamba Dotto Biteko ndiyo next Premier wa Tanzania kuanzia mwaka 2025.
Ujinga mwingine pelekeni kwenu visiwani huko.

Mrema alikuwa naibu waziri mkuu ,mbona hakuwahi kuwa pm?
 
Kwani Magufuli alikuwa Msukuma? Mrundi anakuwaje Msukuma?

Halafu msijizime data, labda ya ziwa si ya wasukuma pekee, kuna Mara na Kagera, acheni kujipaisha kiboya.

Kama mnaamini Wasukuma mpo wengi daini Jamhuri yenu.
Nakuunga mkono
 
Ujinga mwingine pelekeni kwenu visiwani huko.

Mrema alikuwa naibu waziri mkuu ,mbona hakuwahi kuwa pm?
Acha kunipotezea muda kwani hujawahi kumiliki Akili tokea ulipozaliwa sawa?
 
Hakuna mpumbavu na pimbi hapa jamvini kuliko wewe na mawazo ya karne ya 17
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…