Huku wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha kuna tatizo kubwa sana la umeme, kwa siku umeme unaweza kukatika hata mara 10 au zaidi. Tatizo ni nini?
Nchi sasa hivi haina shida ya umeme, kuna nini huku Arumeru. Mhe. Naibu Waziri Mkuu tunaomba wasaidie wananchi wako. Hii ni hujuma dhidi ya serikali ya CCM ukizingatia huu ni mwaka wa uchaguzi, kuna watumishi wa umma ni wapinzani wa maendeleo ya Serikali kuichongea kwa wananchi.
Umeme kwa maisha ya sasa hivi ni kila kitu, shughuli za kiuchumi zinasimama. Kama kuna hujuma wahusika washuhulikiwe vikali.
Vile vile ni wakati sasa kuwahamisha mameneja wa TANESCO wilaya ya Arumeru na wa mkoa wa Arusha, hawa watu wamejisahau hawahangaika na hii kero ya umeme.
Pia soma
Nchi sasa hivi haina shida ya umeme, kuna nini huku Arumeru. Mhe. Naibu Waziri Mkuu tunaomba wasaidie wananchi wako. Hii ni hujuma dhidi ya serikali ya CCM ukizingatia huu ni mwaka wa uchaguzi, kuna watumishi wa umma ni wapinzani wa maendeleo ya Serikali kuichongea kwa wananchi.
Umeme kwa maisha ya sasa hivi ni kila kitu, shughuli za kiuchumi zinasimama. Kama kuna hujuma wahusika washuhulikiwe vikali.
Vile vile ni wakati sasa kuwahamisha mameneja wa TANESCO wilaya ya Arumeru na wa mkoa wa Arusha, hawa watu wamejisahau hawahangaika na hii kero ya umeme.
Pia soma
- KERO - TANESCO Arumeru kuna shida gani? Umeme unakatika kwa siku zaidi ya mara 10
- Meneja TANESCO, Arumeru hakuna umeme tangu asubuhi
- Mbona kimsingi mgawo wa umeme umeisha? Kwanini meneja wa wilaya ya Arumeru unatunyanyasa wananchi wa Kikatiti?
- Arusha: kuanzia Usa-River mpaka King'ori ni wiki sasa umeme unakatwa kila ikifika saa 12 jioni