Naibu Waziri Mwana FA, Aden Rage na GENTAMYCINE tumechukizwa na Simba SC ila kamwe hatuwezi kuvaa jezi ya Yanga SC

Rashidi?
 
Brother bwana, hivi huonagi wala kuwazaga kuwa hizi nyuzi unazoandika kila mara zinakushusha P huku JF.
 
Nakazia
 
Uko sahihi 100%. Man u unavaa jezi ya Liverpool, uliona wapi.
 
Uzalendo ni kwa nchi yangu si kwa hao mbwakoko Yanga.

Wakishashinda Ni mitusi tu.
 
Mm nilishaapa hata nikiwa Rais aslan siwezi kuvaa jezi ya Yanga
Na Huwezi Kuwa Raisi Sasa Kwasababu Unachuki Chuki zako Ni zaidi Ya Mpira Mimi sio shabiki wa simba ila jezi ya simba ninayo japo nilivaa juzi kati hapo kwenye mechi kati ya simba na wydad Mpira ni furaha ukiona unateseka kuichukia timu usiyoishabikia hilo ni tatizo la kiufundi kichwani mwako wahi kwa doctor
 

Kwa maandishi yako, hakuna mwanaume hapa. Pole
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huna Akili kwani Rage siyo mwana Simba SC lia lia kama Mwana FA? Uliona kavalia Jezi ya Yanga SC? Mwana FA ( Naibu Waziri wa Michezo Hamis Mwinjuma ) katukosea pakubwa wana Simba SC kwa Kitendo cha Kuvaa / Kuvalia Jezi ya Yanga SC leo.
Nataka kuandika kitu ila ngoja nikae kimya ila tu jamaa kama dalhali
 
Uko sahihi 100%. Man u unavaa jezi ya Liverpool, uliona wapi.
Mpira siku hizi umeingiliwa na watu wa ovyo..... Mpira ulikua mchezo wa kiume,, tena wanaume wenye msimamo ila sasa hivi umama mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…