DOKEZO Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huyu si Naibu waziri wa katiba na sheria? Mahakama na DPP wapo chini yake.
 
Angalia kabla ya wao kuingia anga zako usije ukaingia zao.
Kwa wanao nijua mimi vizuri ni mtu mmoja mkimya na mpole ajabu; tofauti na kelele za jukwaa la siasa.

Hata kuongea saa zingine tabu.

Lakini katika utoto wangu wa sekondari watu niliokuwa nakaa nao ni balaa shuleni wale wanaotoroka kwenda mbuguni kuchimba madini, wenginene walishaanza kuwa wezi wa magari; wakati huo nina washkaji waliopiga Division 1 ya 7 na 8 wengi wao au unaweza nikuta nipo na wanao toka vijijini wananielezea maisha huko mimi ni wa kila mtu. Tena asilimia kubwa ya marafiki zangu walikuwa wamenizidi kidato nimeanza nao mi nipo form one wao wapo form three.

Kwenye 18’s washikaji zangu walikuwa watoto wakijamaica kuna mablaza wacheza kikapu na kuna wahuni wanatembea na bastola tushaenda mpaka sehemu ugomvi ikatokea shooting wote tukakamtwa.

In my 20’s nilikuwa na washikaji wauza nganda na tupo poa tu mpaka leo; pamoja na drama za upuuzi za social media.

Nachojaribu kukwambia nimeona mengi na nakaa na kila ya aina ya mtu vizuri.

Kuna ka mji kadogo nimeamia kuna mambo yangu ya kuweka sawa; huku sasa ndio nimekutana na watanzania washamba halafu wanajiona wahuni balaa.

Tatizo ukifanya upuuzi udogoni au kuona mambo fulani ambayo ufanani nayo unaachana nayo. Vinginevyo makundi ya watu wote hayo lolote lingenipokea I am that cool kwa wanao nijua vizuri.

Sasa nipo sehemu ambayo sina watu ninao wajua ni kamji kadogo kamejaa wabongo wengi walugaluga na watu wa visiwani; nikikwambia kuna watu wana mambo ya kishamba trust me; yaani mpaka mimi niwe na hasira na mtu ujue kanivaa kiasi kwamba akivumiliki.

Ni hapa tu nilipo nina dillema risk it all kwa sababu ya kisasi because ninao huo uwezo wakuwaletea watu au nibaki na hasira kutafuta namna ya kusamehe na ku move on maana mission yenyewe iliyonileta nishamaliza anytime nachomoka.

Watu wenyewe ujanja wao unaishia huku tu kijijini nilipo nje ya hapo hawana lolote. Ujakutana tu na wapuuzi kwenye maisha yako.
 
I guess wa kwanza ni mkeo 🤪
Yaani siwezi kuwa na hasira ya kugongewa; labda huyo mtu aanze kujitapa kwa madharau kwangu .

I believe in people freedom, ataenda tu kwa amani huyo mwanamke biashara inaisha hapo.

Hila kuna watu wanawashwa wana kufuata personal, kibaya zaidi huna mazoea nao.
 
Punguza hasira

Ova
 
Kiukweli hata mie nikiamua kufanya yangu huwa sina utu hata kidogo.
 
suala hili lichunguzwe tujue ukweli. na kama dogo anatumiwa na wabaya wake tujue ukweli pia. ila nijuacho kuhusu hao masingo maza, wengi wana matatizo sana.
 
Ukitaka kujua taifa la wafiraji na wafwiraji angalia aina ya adhabu wanazopenda watu kufanyiana lazima zihuishe njia ya haja kubwa. Watu wa namna hiyo yu mkini bila shaka yoyote ni watu wanaopenda masuala ya ulawiti direct or indirect.
 
Ukitaka kujua taifa la wafiraji na wafwiraji angalia aina ya adhabu wanazopenda watu kufanyiana lazima zihuishe njia ya haja kubwa. Watu wa namna hiyo yu mkini bila shaka yoyote ni watu wanaopenda masuala ya ulawiti direct or indirect.
Taifa la nini? Wewe pia mmoja wapo? Au ulimi umekuteleza? Yaan wewe pia ni Afande Rama? 🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…