Naibu Waziri TAMISEMI ahamasisha matumizi ya Nishati safi Kigoma, Agawa Mitungi ya Gesi 200

Naibu Waziri TAMISEMI ahamasisha matumizi ya Nishati safi Kigoma, Agawa Mitungi ya Gesi 200

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

WhatsApp Image 2024-09-23 at 20.22.22.jpeg

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kigoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba amewaomba wanawake wa Mkoa wa Kigoma kuendelea kuhamasika na matumizi ya Nishati safi ya kupikia kwani waathirika wakubwa wa matumizi ya Nishati isiyo rafiki ni wanawake.

Mhe. Katimba amesema hayo wakati akigawa mitungi 200 ya gesi kwa akina mama wa mkoa wa Kigoma ikiwa ni kuunga mkono kampeni ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia iliyoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa
Nishati safi barani Afrika.

WhatsApp Image 2024-09-23 at 20.45.23.jpeg

Zoezi hilo la ugawaji wa mitungi hiyo ya Gesi limefanyika wilayani Kasulu mara baada ya mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kwa viongozi na watendaji wa mkoa wa Kigoma iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimmu (NBS) ambapo moja ya wasilisho ni takwimu ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia.

“Mitungi hii ya gesi mtaichukua ninyi ili mkawe mabalozi muende mkahamasishe wanawake wengine na wananchi wote tuunge mkono kampeni ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha Tanzania tunatumia Nishati safi ya kupikia na sote tunafahamu nishati isiyo safi inaleta athari na waathitika wakubwa ni akina mama kwasababu sisi akına mama ndio tunashughulika na mambo ya jikoni kwahiyo tunahangaika na moshi wa kuni na mkaa” amesema

Soma Pia: Wananchi Dodoma Jiji Wagawiwa Majiko ya Gesi 1,000 Kuunga Mkono Nishati Safi

WhatsApp Image 2024-09-23 at 20.45.21.jpeg

WhatsApp Image 2024-09-23 at 20.56.16.jpeg
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-09-23 at 20.22.24.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-23 at 20.22.24.jpeg
    166.1 KB · Views: 3
  • WhatsApp Image 2024-09-23 at 20.56.18.jpeg
    WhatsApp Image 2024-09-23 at 20.56.18.jpeg
    278.6 KB · Views: 4

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kigoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba amewaomba wanawake wa Mkoa wa Kigoma kuendelea kuhamasika na matumizi ya Nishati safi ya kupikia kwani waathirika wakubwa wa matumizi ya Nishati isiyo rafiki ni wanawake.

Mhe. Katimba amesema hayo wakati akigawa mitungi 200 ya gesi kwa akina mama wa mkoa wa Kigoma ikiwa ni kuunga mkono kampeni ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia iliyoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa
Nishati safi barani Afrika.


Zoezi hilo la ugawaji wa mitungi hiyo ya Gesi limefanyika wilayani Kasulu mara baada ya mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kwa viongozi na watendaji wa mkoa wa Kigoma iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimmu (NBS) ambapo moja ya wasilisho ni takwimu ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia.

“Mitungi hii ya gesi mtaichukua ninyi ili mkawe mabalozi muende mkahamasishe wanawake wengine na wananchi wote tuunge mkono kampeni ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha Tanzania tunatumia Nishati safi ya kupikia na sote tunafahamu nishati isiyo safi inaleta athari na waathitika wakubwa ni akina mama kwasababu sisi akına mama ndio tunashughulika na mambo ya jikoni kwahiyo tunahangaika na moshi wa kuni na mkaa” amesema

Soma Pia: Wananchi Dodoma Jiji Wagawiwa Majiko ya Gesi 1,000 Kuunga Mkono Nishati Safi

Takrima.
 

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kigoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba amewaomba wanawake wa Mkoa wa Kigoma kuendelea kuhamasika na matumizi ya Nishati safi ya kupikia kwani waathirika wakubwa wa matumizi ya Nishati isiyo rafiki ni wanawake.

Mhe. Katimba amesema hayo wakati akigawa mitungi 200 ya gesi kwa akina mama wa mkoa wa Kigoma ikiwa ni kuunga mkono kampeni ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia iliyoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa
Nishati safi barani Afrika.


Zoezi hilo la ugawaji wa mitungi hiyo ya Gesi limefanyika wilayani Kasulu mara baada ya mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kwa viongozi na watendaji wa mkoa wa Kigoma iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimmu (NBS) ambapo moja ya wasilisho ni takwimu ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia.

“Mitungi hii ya gesi mtaichukua ninyi ili mkawe mabalozi muende mkahamasishe wanawake wengine na wananchi wote tuunge mkono kampeni ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha Tanzania tunatumia Nishati safi ya kupikia na sote tunafahamu nishati isiyo safi inaleta athari na waathitika wakubwa ni akina mama kwasababu sisi akına mama ndio tunashughulika na mambo ya jikoni kwahiyo tunahangaika na moshi wa kuni na mkaa” amesema

Soma Pia: Wananchi Dodoma Jiji Wagawiwa Majiko ya Gesi 1,000 Kuunga Mkono Nishati Safi

AGIZA GESI YA KUPIKIA HAPOHAPO ULIPO USIONDOKE KAA HAPOHAPO MTAANI KWAKO
Gesi zote zipo: Oryx Gas, Taifa Gas, Manjis Gas, O-Gas, Total Gas, Mihan Gas, na Puma Gas: zote zinapatikana hapo
 

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kigoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba amewaomba wanawake wa Mkoa wa Kigoma kuendelea kuhamasika na matumizi ya Nishati safi ya kupikia kwani waathirika wakubwa wa matumizi ya Nishati isiyo rafiki ni wanawake.

Mhe. Katimba amesema hayo wakati akigawa mitungi 200 ya gesi kwa akina mama wa mkoa wa Kigoma ikiwa ni kuunga mkono kampeni ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia iliyoasisiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye ni kinara wa
Nishati safi barani Afrika.


Zoezi hilo la ugawaji wa mitungi hiyo ya Gesi limefanyika wilayani Kasulu mara baada ya mafunzo ya matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kwa viongozi na watendaji wa mkoa wa Kigoma iliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimmu (NBS) ambapo moja ya wasilisho ni takwimu ya matumizi ya Nishati safi ya kupikia.

“Mitungi hii ya gesi mtaichukua ninyi ili mkawe mabalozi muende mkahamasishe wanawake wengine na wananchi wote tuunge mkono kampeni ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha Tanzania tunatumia Nishati safi ya kupikia na sote tunafahamu nishati isiyo safi inaleta athari na waathitika wakubwa ni akina mama kwasababu sisi akına mama ndio tunashughulika na mambo ya jikoni kwahiyo tunahangaika na moshi wa kuni na mkaa” amesema

Soma Pia: Wananchi Dodoma Jiji Wagawiwa Majiko ya Gesi 1,000 Kuunga Mkono Nishati Safi

It is unsustainable approach!
 
Yeah!....umechukua sura ya kisiasa zaidi.
Wamewauliza hao akina mama wana uwezo wa kujaza gesi pale itakapoisha? Hiyo mitungi ikiisha hiyo ya kuanzia mtungi wataipaki na kurudi kwenye kuni na mkaa!
 
Wamewauliza hao akina mama wana uwezo wa kujaza gesi pale itakapoisha? Hiyo mitungi ikiisha hiyo ya kuanzia mtungi wataipaki na kurudi kwenye kuni na mkaa!
Ni kweli.....

Ni vyema waangalia vyanzo vingine vya nishati safi wagawe badala ya gesi pekee.
 
Ni kweli.....

Ni vyema waangalia vyanzo vingine vya nishati safi wagawe badala ya gesi pekee.
Tunapaswa kuanza kwanza na kupunguza matumizi ya kuni na mkaa. Hamasa kubwa ingekuwa kwenye majiko banifu ili badala ya kutumia kilo 10 za kuni au mkaa kila siku watu watumie kilo 3 au 5!
 
Back
Top Bottom