emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,243
Inabidi walipe maana hatujapenda afariki ndio maana madaktari wakawa wanahangaika na mgonjwa,Mkuu wewe ni Master wa maswali nmeamimia fact yako Kuna raia watauwa ndugu zao ili kukwepa gharama heb just imagine mtu anadaiwa 5 mil at hospital nae ndg zake wasilipe achen hzo