Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,856
- 1,793
Kutokana na umuhimu wa barakoa jifunze hapa namna ya kutengeneza barakoa rahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma Naibu Waziri kasema nini hasa hapo mwisho alivyomalizia, nadhani hutoumiza kichwa tenaMbona mnatuchanganya sana! hivi Serikali hii ni yupi ambae tunapashwa tumsikilize? Na yupi ambae ni msemaji wa Serikali juu ya maswala ya kitalamu kuhusu Corona? Je Makonda kwenye mkoa anao uongoza hana watalamu na wenye akili za kushindwa kuwatumia Katika kipindi hiki kigumu,ukiacha na Waziri je RMO wa Dsm anakazi gani? Au Makonda anakaimu nafasi ya RMO.
Hatamie najiuliza, akipigwa risasi jambazi kwenye majibizano anaetoa taarifa/ufafanuzi Ni mambosasa na sio mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa mkoa, Ila hili la corona RMO hatumsikii kabisa badala yake mwenyekiti wa ulinzi na usalama ndio kunara, Kama ndio hivyo Basi masuala yote yahusuyo mkoa yazungumzwe na mtu mmoja, kuanzia idadi ya majambazi Hadi coronaMbona mnatuchanganya sana! hivi Serikali hii ni yupi ambae tunapashwa tumsikilize? Na yupi ambae ni msemaji wa Serikali juu ya maswala ya kitalamu kuhusu Corona? Je Makonda kwenye mkoa anao uongoza hana watalamu na wenye akili za kushindwa kuwatumia Katika kipindi hiki kigumu,ukiacha na Waziri je RMO wa Dsm anakazi gani? Au Makonda anakaimu nafasi ya RMO.
Wote wako sahihi mkuu, waziri kasema kutumia kitambaa cha pamba kwa wale ambao hawana uwezo. Ni ushauri mzuriMakonda yuko sahihi.
Ni bora kuvaa barakoa ya kitambaa.
Lesso ikikunjwa vizuri inazuia Corona kusambaa .
Na pia kitambaa ni rahisi kukifua kwa sabuni na maji ya moto na kukipiga pasi kwa wale wasio na Sh.3000 /- za Maski ya kitabibu inayonunuliwa kila siku na kuibadili kila baada ya masaa manne.
Huyo waziri atakua na mafamasi mengi na amelenga kufanya biashara.
Ubinafsi wa mwanadam ndio ulioleta Corona kwa manufaa ya kiuchumi zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu atunusuru.
Wanasiasa wanaingilia mambo ya kitaalamAcheni kupotosha watu, barakoa za vitambaa bado zina msaada, hata nchini ujerumani watu wameambiwa wanaweza kuzitumia, ukifuata kiki za hao wanasiasa utapotea. Kwa akili ya kawaida ni asilimia ngapi ya watu wanamudu kutumia N95 ukizingatia kwamba matumizi yake ni ndani ya siku moja. Wanasiasa wanaoleta utaalamu uchwara kwenye swala serious la korona ni bora rais angeanza nao mapema kabla hawajasababisha majanga zaidi...
Wengi wenu mna chuki binafsi na Makonda, lakini mjue Makonda bado yupo yupo sana!Wanasiasa wangekaa kimya ktk kipindi hiki Cha Corona...
Makonda kauli zake zinamfanya aoneoane Ni mtu wa kukurupuka tu kwa matamko yasiyo tekelezeka...
Watanzania hatuzidi milioni 60 kwanini basi serikali isitoe tu Milioni 60 ili kila mtanzania apewe milioni 1 imsaidie katika kipindi hiki cha Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
N95 na surgical mask tu!Makanga,maleso hayazuii virusi!
Watanzania hatuzidi milioni 60 kwanini basi serikali isitoe tu Milioni 60 ili kila mtanzania apewe milioni 1 imsaidie katika kipindi hiki cha Corona
Sent using Jamii Forums mobile app