Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile aelezea aina za Barakoa za kuvaa na Utaratibu wa kutengeneza ya kitambaa

Kutokana na umuhimu wa barakoa jifunze hapa namna ya kutengeneza barakoa rahisi
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Soma Naibu Waziri kasema nini hasa hapo mwisho alivyomalizia, nadhani hutoumiza kichwa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kila barakoa ni barakoa!

The good, the bad and the ugly.
 
Hatamie najiuliza, akipigwa risasi jambazi kwenye majibizano anaetoa taarifa/ufafanuzi Ni mambosasa na sio mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa mkoa, Ila hili la corona RMO hatumsikii kabisa badala yake mwenyekiti wa ulinzi na usalama ndio kunara, Kama ndio hivyo Basi masuala yote yahusuyo mkoa yazungumzwe na mtu mmoja, kuanzia idadi ya majambazi Hadi corona
 
Wote wako sahihi mkuu, waziri kasema kutumia kitambaa cha pamba kwa wale ambao hawana uwezo. Ni ushauri mzuri

Tatizo watanzania tumezoea kushikiwa akili zetu. Watu wana access za internet lakini wavivu wa kutafuta mambo muhimu mpaka waambiwe na serikali.

Hivi kweli mpaka leo hatujui umuhimu wa kuvaa barakoa au masks mpaka serikali itoe amri?

Mnashindwa kutafuta jinsi ya kutengeneza masks au kusoma masks gani zinafaa kutoka vyombo vya uhakika kama WHO na vingine?

Tuache mzaa, tujifunze kutoka kwa wenzetu hili tupunguze maambukizi.

Ushauri wako mzuri na ni rahisi kusoma labda wataelewa. Wako busy kumshambulia Makonda, kuna wakati chuki binafsi tunatakiwa tuweke pembeni.
 
Wanasiasa wanaingilia mambo ya kitaalam
Wana wapoteza tu watu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pua na midomo zimegeuka sehemu za siri, ajabu sana hii.

Corona is overrated.
 
Wanasiasa wangekaa kimya ktk kipindi hiki Cha Corona...

Makonda kauli zake zinamfanya aoneoane Ni mtu wa kukurupuka tu kwa matamko yasiyo tekelezeka...
Wengi wenu mna chuki binafsi na Makonda, lakini mjue Makonda bado yupo yupo sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…