[emoji23]hizi hesabu zako boss unajua mwenyew ulipozitoa.... 60mil niwatu 60 tu km kila mtu akichukua 1milWatanzania hatuzidi milioni 60 kwanini basi serikali isitoe tu Milioni 60 ili kila mtanzania apewe milioni 1 imsaidie katika kipindi hiki cha Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahitaji picha ili kutuonyesha aina hizo za barakoa na kwanini N95 isivaliwe wakati ndio barakoa ambayo inazuia virusi kwa aslimia 95? na je ni bora ipi kuvaa hiyo N95 au vitenge,mbona nchi nyingine wanavaa hizo N95 ? atoe na sababu pia angekuwa anaonyesha anina hizo za barakoa,haifai kutamka tu majina,sisi sio wataalamu wa afya hatuzijui.Kuna haja kubwa sana kwa Masuala ya Afya kuzungumzwa na wataalam wa Sekta hiyo tu na si vinginevyo , mtu aliyesomea Kahawa na vitunguu hawezi kuyajua mambo haya .
======
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Faustine Ndugulile, ametolea Ufafanuzi Clip inayosambazwa.
Naibu Waziri amesema:
View attachment 1423817
=> Kuna clip inazunguka nikiongelea kuhusu barakoa za kitambaa. Napenda kutoa ufafanuzi ufuatavyo:
=> 1. Barakoa za N95 zinapaswa kutumika na watoa huduma wa afya wanaohudumia wagonjwa wa Covid-19. Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa mitaani, majumbani wala maofisini."
=> "2. Barakoa za upasuaji (surgical masks) hizi zinapaswa kuvaliwa na watumishi wa afya ambao hawana direct contact na wagonjwa. Barakoa hizi pia zinaweza kuvaliwa na jamii kwenye maeneo ya mikusanyiko kwa muda wa masaa 4-6."
=> "Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa kutwa nzima na kurudia matumizi (re-use). Aidha, kumekuwa na sintofahamu kuhusu namna ya uvaaji wa barakoa za upasuaji."
=> "Barakoa hizi zinapaswa kuvaliwa kama ifuatavyo:
(a). Upande wenye rangi (blue, kijani, zambarau nk) unapaswa kuwa nje.
(b). Upande wenye chuma unapaswa kuwa juu."
=> "3. Barakoa za kitambaa (cloth masks) hazina ubora wa kinga kama N-95 au surgical masks, lakini zinaweza kutumika kupunguza uwezekano wa maambukizi toka kwa mtu mmoja kwenda mwingine majumbani na sehemu za mikusanyiko."
=> "Mambo ya kuzingatia ni pamoja na kutumia vitambaa vya pamba, kutumia layers zaidi ya mbili katika utengenezaji wa barakoa hizo, kuwa na barakoa angalau mbili ili kuruhusu kufanyiwa usafi wa mara kwa mara na barakoa zifuliwe kwa maji na sabuni na kupigwa pasi."
=> "Ni muhimu kukumbuka kuwa barakoa sio mbadala wa kunawa mikono na kuzingatia umbali kati ya mtu na mtu (Social distancing) bali ni nyongeza ya hatua hizi."
=> "Tuhakikishe barakoa zilizotumika hazitupwi ovyo na badala yale zichomwe moto ili kuepuka kuokotwa na kutumiwa na watu wengine. Vile vile, watu hawapaswi kuazimana barakoa iliyokwisha kutumika. Kila mtu awe na yake."
=> "Mwisho, tuendelee kuzingatia maelekezo yanayotolewa mara kwa mara na Wizara ya Afya kuhusu hatua mbali mbali za kujikinga na ugonjwa huu."
View attachment 1423405
Bange hiziWatanzania hatuzidi milioni 60 kwanini basi serikali isitoe tu Milioni 60 ili kila mtanzania apewe milioni 1 imsaidie katika kipindi hiki cha Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahahah kafanya kusudi bwana usiumize kichwa[emoji23]hizi hesabu zako boss unajua mwenyew ulipozitoa.... 60mil niwatu 60 tu km kila mtu akichukua 1mil
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujua anakazi gani, fanya kinyume na alicholiagiza, we nenda tu supermarket bila maski ya aina yeyote mpu.mbavu wewe, mnaleta siasa kwa issues za msingi.Mbona mnatuchanganya sana! hivi Serikali hii ni yupi ambae tunapashwa tumsikilize? Na yupi ambae ni msemaji wa Serikali juu ya maswala ya kitalamu kuhusu Corona? Je Makonda kwenye mkoa anao uongoza hana watalamu na wenye akili za kushindwa kuwatumia Katika kipindi hiki kigumu,ukiacha na Waziri je RMO wa Dsm anakazi gani? Au Makonda anakaimu nafasi ya RMO.
Acha kuropoka kijana
Mwambieni Makonda amtumie RMO atoe taarifa za corona. Otherwise ataendelea kuwachanganya raia.Akili ndogo kuelewa uamzi wa akili kubwa ni ngumu,makonda anajua virus ana ukubwa gani lakini pia hivyo vitambaa vya vitenge vipenyo vyake vikoje,usidhani anongea from no where,wewe ndo unatuchanganya
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani kama barakoa N95 hujaninunulia kuna ubaya gani nikivaa mtaani kwan sisi hatupaswi kutumia vitu bora kujikinga au??,
Kuna haja kubwa sana kwa Masuala ya Afya kuzungumzwa na wataalam wa Sekta hiyo tu na si vinginevyo , mtu aliyesomea Kahawa na vitunguu hawezi kuyajua mambo haya .
======
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Faustine Ndugulile, ametolea Ufafanuzi Clip inayosambazwa.
Naibu Waziri amesema:
View attachment 1423817
=> Kuna clip inazunguka nikiongelea kuhusu barakoa za kitambaa. Napenda kutoa ufafanuzi ufuatavyo:
=> 1. Barakoa za N95 zinapaswa kutumika na watoa huduma wa afya wanaohudumia wagonjwa wa Covid-19. Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa mitaani, majumbani wala maofisini."
=> "2. Barakoa za upasuaji (surgical masks) hizi zinapaswa kuvaliwa na watumishi wa afya ambao hawana direct contact na wagonjwa. Barakoa hizi pia zinaweza kuvaliwa na jamii kwenye maeneo ya mikusanyiko kwa muda wa masaa 4-6."
=> "Barakoa hizi hazipaswi kuvaliwa kutwa nzima na kurudia matumizi (re-use). Aidha, kumekuwa na sintofahamu kuhusu namna ya uvaaji wa barakoa za upasuaji."
=> "Barakoa hizi zinapaswa kuvaliwa kama ifuatavyo:
(a). Upande wenye rangi (blue, kijani, zambarau nk) unapaswa kuwa nje.
(b). Upande wenye chuma unapaswa kuwa juu."
=> "3. Barakoa za kitambaa (cloth masks) hazina ubora wa kinga kama N-95 au surgical masks, lakini zinaweza kutumika kupunguza uwezekano wa maambukizi toka kwa mtu mmoja kwenda mwingine majumbani na sehemu za mikusanyiko."
=> "Mambo ya kuzingatia ni pamoja na kutumia vitambaa vya pamba, kutumia layers zaidi ya mbili katika utengenezaji wa barakoa hizo, kuwa na barakoa angalau mbili ili kuruhusu kufanyiwa usafi wa mara kwa mara na barakoa zifuliwe kwa maji na sabuni na kupigwa pasi."
=> "Ni muhimu kukumbuka kuwa barakoa sio mbadala wa kunawa mikono na kuzingatia umbali kati ya mtu na mtu (Social distancing) bali ni nyongeza ya hatua hizi."
=> "Tuhakikishe barakoa zilizotumika hazitupwi ovyo na badala yale zichomwe moto ili kuepuka kuokotwa na kutumiwa na watu wengine. Vile vile, watu hawapaswi kuazimana barakoa iliyokwisha kutumika. Kila mtu awe na yake."
=> "Mwisho, tuendelee kuzingatia maelekezo yanayotolewa mara kwa mara na Wizara ya Afya kuhusu hatua mbali mbali za kujikinga na ugonjwa huu."
View attachment 1423405
Gugo!N95 Ina valiwa kwa masaa mangapi ??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Labda weweUnawashwa eh?
Asante kwa yote
Sisi watanzania tutavaa barakoa nyie wa Dar kateni vipande vya khanga na leso kama barakoa!!!Mbona mnatuchanganya sana! hivi Serikali hii ni yupi ambae tunapashwa tumsikilize? Na yupi ambae ni msemaji wa Serikali juu ya maswala ya kitalamu kuhusu Corona? Je Makonda kwenye mkoa anao uongoza hana watalamu na wenye akili za kushindwa kuwatumia Katika kipindi hiki kigumu,ukiacha na Waziri je RMO wa Dsm anakazi gani? Au Makonda anakaimu nafasi ya RMO.
Dr. Hi ndude nimeuziwa sh 4500/- hata mbele sioni.