Washenzi kabisa.afu wanatuzuia kuoa wake wengi
Ndoa takatifu😂😂😂😂Waziri wa ulinzi wa United kingdom ameolewa na mchumba wake wa siku nyingi
View attachment 3085161View attachment 3085167View attachment 3085163View attachment 3085165View attachment 3085166
Wanawake ni marafiki wakubwa wa mashoga mkuu.Halafu wanawake ndo wengi kwenye hii party na wanafuraha ajabu asee🤔🤔
Kwahiyo hapo umeona akina mama na dada tu wanaume hujawaona au unataka tu kuwalaumu wanawake kama kawaida ya wanaume wa JamiiForums?🙄🙄Mimi hilo la kuolewa halinishangazi tena maana wameshaamua kinachonishangaza mimi ni hao kinadada na kinamama hapo wanaposhangilia wanakuwa wanajua...
Wanawake sijui kwanini wanawapenda mashoga hata hapa bongo hamisa, wema sepetu na anty ezekiel utakuta wanaonhozana nao.Halafu wanawake ndo wengi kwenye hii party na wanafuraha ajabu asee🤔🤔