Naibu Waziri wa Nchi wa Bunge upande wa Ulinzi Luke Pollard ameolewa na mchumba wake wa siku nyingi

Naibu Waziri wa Nchi wa Bunge upande wa Ulinzi Luke Pollard ameolewa na mchumba wake wa siku nyingi

Status
Not open for further replies.
Hawa jamaa nimeanza kuwashtukia. Ukute wanafanya hivyo kuvuruga dunia huku kiuhalisia hawafanyani.
Lengo la mifumo inayoendesha dunia ni kila mtu afurugwe akili na akubali au awe shoga shoga wa kike.
 
Serikali ya tanzania isitishe misaada kwa nchi hii.
Em sema tenaa? Wee unaotaaa? Poleee wee.
Serikali yako haina huo uwezoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo hapo umeona akina mama na dada tu wanaume hujawaona au unataka tu kuwalaumu wanawake kama kawaida ya wanaume wa jamii forum??🙄🙄
Kama umenisoma vizuri sijamlaumu mtu bali nimeshangaa,kingine hao unaosema ni wanaume utakuta hawana tofauti na hao wanaojiita wanandoa hapo so wala hawajanishangaza
 
Na ikitokea mwanae wa kumzaa akaingia humo wanatamani kijiuwa lakini watoto wa wenzao aaah
Nakubaliana nawe kuna memba mmoja humu jamvini kama miaka miwili nyuma alikuwa anamshabikia sana ushoga. Nilipomuuliza kuhusu yeye anaweza mruhusu kijana wake wa kiume aolewe na mwanaume mwenzake aliishia kukaa kimya.
 
Duh nilikuwa naupita uzi sijui nani kanituma kufungua
 
Hao tayari ni kama wahalifu sasa utakuta mdada hana shida yeyote labda anamume au mpenzi lkano kitwa kuambatana na hao mafedhulo.
Mafedhulii wapiii? Wee ndo mtakatifuu sanaa? Leo mtasandaa mbnaa
Mtasemaa yoteeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha kama wanakula nyama mbichi tuwatofautishe vipi na mbwa au fisi hao wote ni carnivore.
Ongezaaa sautiiiiiii!!! Aaaaaiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1725462027052.png


680f016f-5ba1-4d78-8d17-617695d3d8cf.jpg

Waziri wa ulinzi nchini Uingereza bwana Luke Pollard siku ya jana ameolewa na kijana mdogo Gen Z aitwaye Sydney Robertson
Ndoa ilifanyika Port Eliot kwenye mji wa Cornwall
Ndoa ilifana sana kama inavyoonekana kwenye picha
Kwa sasa wako honeymoon.
 
View attachment 3087056
Waziri wa ulinzi nchini Uingereza bwana Luke Pollard siku ya jana ameolewa na kijana mdogo Gen Z aitwaye Sydney Robertson
Ndoa ilifanyika Port Eliot kwenye mji wa Cornwall
Ndoa ilifana sana kama inavyoonekana kwenye picha
Kwa sasa wako honeymoon.
Hao waalikwa ni kama wanamcheka vile 😂😂😂😂
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom