Naibu Waziri wa sanaa, Shonza umechemka kuwasimamisha kazi wasanii Giggy money na Suzan kinyume na ustarabu wa hekima

Duuh hii ndio jamii Forum siku hizi home of great thinker.! Na wewee ni mmoja wa hao great thinker.??
[emoji134] [emoji86]
Tanzania Nchi yangu tulikukosea nini kizazi chetu?
usikute hata hao wauza papa wako humu na...!
 
Umeona nimemuongelea Giggy!!!

Na pia nani kasema nimeandika ya siasa.. embu kaa chini jipime kudandia dandia utulize kichwa chako..
Dada yangu mambo VP? Nazidi kuwa Mzalendo!
 
Unawatetea wenyekuimba nampa PA PA PA, NAMPA PAPA.!!!
Hivi wimbo huu wanaume wenzangu munausikiliza kweli?
Na inawezekana kuna wanaume wanauimba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bora.....maana hii papa nayo mmh anajifunua sana yaani fiesta niliona papa yenyewe live
 
tatizo ni moja tuu..

GIG MONEY ni maarufu kuliko JULIANA SHONZA

Sasa unategenea nini hapo?? wakati shonza ni binti wa kupenda kiki
 
Nimeiona video ni ya kawauda mno sijajua sababu ya kuifungia yaan pretty kaonewaa sana
 
Kati ya video nilizoziona hii ya pretty ni kama kwaya tuu hapo lazima lipo jambo nyuma ya pazia kamuonea dada wa watuu
 
Kama Naibu waziri ataamua ku deal na msanii mmojammoja BASATA watafanya kazi gani?Kwani kila tukio watafute Kamera?Hawana ofisi?Walimwonya kabla ya kumfungia?Akina Babu seya kuachiwa kwao kunatumika kama political capital!Ngoja tuone value yao kwenye game itakuwaje miaka 8 ijayo mbele ya hadhira kama hataishia kwenye matamasha ya matukio ya kichama,kitaifa na kampeni za uchaguzi.
 
Kama wasanii wamekatazwa kushiriki tukio fulani kwa sababu za kimaadili haina maana kuwa wamezuiwa kushiriki shughuli za kisanii maishani. Adhabu ndogo ndogo kwenye fani yoyote hutolewa ili kufanya marekebisho ya mienendo na tabia. Kwenye fani nyingine mfano mpira wa miguu kuna kadi za njano , nyekundu, na kufungiwa. We Kisandu una value judgement sana kwenye post zako
 
Kisandu " unamuunga mkono lkn unampinga kwa asilimia 100", acha kuandika kwa uoga ,try to straight statements (kuunga au kupinga), kuwa vuguvugu ni ishara ya uoga/kutokujiamini.
 
Adhabu iwe faini tu hata milioni 5.Hawezi rudia kosa. Kumzibia mtu njia ya kujiingizia kipato chake humtendei haki na ni utoto kwenye masuala ya uongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…