cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Duuh hii ndio jamii Forum siku hizi home of great thinker.! Na wewee ni mmoja wa hao great thinker.??
[emoji134] [emoji86]
Tanzania Nchi yangu tulikukosea nini kizazi chetu?
usikute hata hao wauza papa wako humu na...!
Mbona Hao Wanavaa Uchi SisapotWangekua wanavaa uchi ungependwa hatari hata wewe ungeusapot
hujaona sindimna tabwamakonde na mchunje wa wandengereko wewe eh?Kwako mtoa mada, unapaswa kwenda kuuzwa libya wewe, Pumbu.vu kabisa.
Hivi sanaa ni kuvaa nguo za hovyo hovyo? Acheni kutetea ujinga.Jinga kubwa wewe
Hatujakataa hila hapa doubt lazima hapa lazima lipo jambo we huko yuotube huingiagi??Kama wasanii wamekatazwa kushiriki tukio fulani kwa sababu za kimaadili haina maana kuwa wamezuiwa kushiriki shughuli za kisanii maishani. Adhabu ndogo ndogo kwenye fani yoyote hutolewa ili kufanya marekebisho ya mienendo na tabia. Kwenye fani nyingine mfano mpira wa miguu kuna kadi za njano , nyekundu, na kufungiwa. We Kisandu una value judgement sana kwenye post zako
Alaa!!Huyo shonza anatakiwa akadeal kwanza na huyu mdogo wake aliyeolewa na mwanamke mwenzake....
Hahahaaa, tumuulize muanzisha uzi. Inawezekana anaujua huo wimbo vzrHivi wimbo huu wanaume wenzangu munausikiliza kweli?
Na inawezekana kuna wanaume wanauimba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa, tumuulize muanzisha uzi. Inawezekana anaujua huo wimbo vzrHivi wimbo huu wanaume wenzangu munausikiliza kweli?
Na inawezekana kuna wanaume wanauimba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Machoko na mashoga plus wasagaji mnajua kuteteana sanaKwanza umeonesha una wivu na wasanii wa kike na umeonesha una mahaba na wasanii wa kiume. Wanawake huwa mna mengi ya kuoneana gere.
Juzi tu tumekuona ukiwa kimbelembele kuwapeleka Studio Babu seya na mwanae kisa tu mnataka kick ya CCM.
Lakini Leo kupitia TCRA umewapiga nyundo wasanii wa wawili wa kike kutoshiriki kazi za Sana'a kwa miezi 6 kwa matendo yao ya kuvaa vichupi katika kazi zao na kutupia picha za utupu mitandaoni. Nakuunga mkono lakini pia nakupinga kwa 100%.
Sheria ikishapitishwa pia huwa ina tarehe yake ya kuanza kutumika na huwa tunafanya hivi ili kulinda Hekima na Busara na kuwafanya wananchi wajitafakari upya kabla sheria haijaanza kazi na wao kuanza kujirekebisha.
Sasa unawapiga nyundo ya miezi 6 halafu vichupi hivyo wameanza kuvaa miaka mingi. Tulitegemea ungewazuia kuvaa hivyo kwanza kwa Filamu zijazo na matendo yao yajayo, busara ilitakiwa kuwashauri kwanza kuepukana na matendo hayo ili watakapo rudia baada ya sheria mpya Ndio wapigwe stop
Mh. Naibu Waziri Bi. Shonza sisi wasanii Sana'a Ndio maisha yetu, hatuna mshahara zaidi ya Sana'a. Wewe una mishahara miwili, mshahara wa mbunge na mshahara wa Uwaziri na posho juu, sisi hatuna hivyo. Ukitusimamisha gafla kwenye Sana'a tutakula wapi? Maana tunayoyafanya kwenye Sana'a sio tunayoyaishi Bali tunatafuta mlo wa siku.
Tunajua una mahaba na Babu Seya na Mwanae baada ya kutoka gerezani lakini huangalii sisi tutakula wapi na tunategemea sanaa. Tafakari tena halafu futa hiyo adhabu.
Mimi Deo Kisandu ni msanii pia nje ya siasa na jua magumu tunayopitia wasanii, je unataka Dada zetu wawe machangudoa? Maana sasa watoto wao utawalisha wewe? Mh. Shonza jaribu kutumia busara mdogo wangu. Nimesharejea Mwanza kazini shule zimefunguliwa nikitokea Kahama. Karibu Mwanza ule hata Sato na sangara.
Deogratius Nalimi Kisandu
7 januari 2018.
Kwanza umeonesha una wivu na wasanii wa kike na umeonesha una mahaba na wasanii wa kiume. Wanawake huwa mna mengi ya kuoneana gere.
Juzi tu tumekuona ukiwa kimbelembele kuwapeleka Studio Babu seya na mwanae kisa tu mnataka kick ya CCM.
Lakini Leo kupitia TCRA umewapiga nyundo wasanii wa wawili wa kike kutoshiriki kazi za Sana'a kwa miezi 6 kwa matendo yao ya kuvaa vichupi katika kazi zao na kutupia picha za utupu mitandaoni. Nakuunga mkono lakini pia nakupinga kwa 100%.
Sheria ikishapitishwa pia huwa ina tarehe yake ya kuanza kutumika na huwa tunafanya hivi ili kulinda Hekima na Busara na kuwafanya wananchi wajitafakari upya kabla sheria haijaanza kazi na wao kuanza kujirekebisha.
Sasa unawapiga nyundo ya miezi 6 halafu vichupi hivyo wameanza kuvaa miaka mingi. Tulitegemea ungewazuia kuvaa hivyo kwanza kwa Filamu zijazo na matendo yao yajayo, busara ilitakiwa kuwashauri kwanza kuepukana na matendo hayo ili watakapo rudia baada ya sheria mpya Ndio wapigwe stop
Mh. Naibu Waziri Bi. Shonza sisi wasanii Sana'a Ndio maisha yetu, hatuna mshahara zaidi ya Sana'a. Wewe una mishahara miwili, mshahara wa mbunge na mshahara wa Uwaziri na posho juu, sisi hatuna hivyo. Ukitusimamisha gafla kwenye Sana'a tutakula wapi? Maana tunayoyafanya kwenye Sana'a sio tunayoyaishi Bali tunatafuta mlo wa siku.
Tunajua una mahaba na Babu Seya na Mwanae baada ya kutoka gerezani lakini huangalii sisi tutakula wapi na tunategemea sanaa. Tafakari tena halafu futa hiyo adhabu.
Mimi Deo Kisandu ni msanii pia nje ya siasa na jua magumu tunayopitia wasanii, je unataka Dada zetu wawe machangudoa? Maana sasa watoto wao utawalisha wewe? Mh. Shonza jaribu kutumia busara mdogo wangu. Nimesharejea Mwanza kazini shule zimefunguliwa nikitokea Kahama. Karibu Mwanza ule hata Sato na sangara.
Deogratius Nalimi Kisandu
7 januari 2018.
Tako jeusiiiiView attachment 671083 huyu naye vipi mh waziri hajamuona? Au?