beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amekiri bila kutangaza vivutio vilivyopo nchini Utalii hauwezi kuendelezwa. Ametoa kauli hiyo akimjibu Mbunge aliyehoji kuhusu mkakati wa kutangaza vivutio vya Kusini.
Akiwa Bungeni, Masanja amesema bila kuimarisha miundombinu utangazaji wa vivutio ni changamoto. Ameeleza Bilioni 46.5 zimetengwa kuhakikisha utangazaji unafanyika kwa nguvu. Pia Bilioni 75.4 zimetengwa kuimarisha miundombinu.
Akiwa Bungeni, Masanja amesema bila kuimarisha miundombinu utangazaji wa vivutio ni changamoto. Ameeleza Bilioni 46.5 zimetengwa kuhakikisha utangazaji unafanyika kwa nguvu. Pia Bilioni 75.4 zimetengwa kuimarisha miundombinu.