Ulamaa Hemed
Senior Member
- Sep 21, 2012
- 159
- 16
Yani hawa HESLB wamekula sh 30000 yangu ya vocha wakati wa kujaza fom za mkopo halafu mkopo wenyewe wameninyima.Naijutia sh.30000 yangu.
yani hawa heslb wamekula sh 30000 yangu ya vocha wakati wa kujaza fom za mkopo halafu mkopo wenyewe wameninyima.naijutia sh.30000 yangu.
hata mtoto akizaliwa anaweza kufa hata kabla hajaiona vizuri dunia.....pole sana kijana!!!
pole sana bro