Naikumbuka Alexandria, Misri

Msaga Sumu,
Maana yangu ni kuwa vita vilikuwa vinawaendea vyema.

Hao ni maarufu ila kwangu mimi mtu mtata kutoka Misri ni
Osama Al Baz.

..Niliwahi kusoma kuhusu MOHAMED NAGUIB ktk jarida la AFRICA EVENTS.

..hivi waandishi wa jarida lile kama wakina Mlamali bado wanaandika?
 
..Niliwahi kusoma kuhusu MOHAMED NAGUIB ktk jarida la AFRICA EVENTS.

..hivi waandishi wa jarida lile kama wakina Mlamali bado wanaandika?
JokaKuu,
Mlamali
haandiki tena aliyebakia akiandika katika ile team
iliyokuwa Africa Events ni Ahmed Rajab na Abdilatif Abdalla
wao wanaendelea kuandika.

Ahmed Rajab ana column katika Rais Mwema kila Jumatano.
Abdilatif huyo hapo chini:

Mohamed Said: N’shishiyelo ni Lilo/ Abdilatif Abdalla (This is What I Hold Fast) na Mamba (Crocodile)
Mohamed Said: KITABU KIPYA KUHUSU ABDILATIF ABDALLA: POET IN POLITICS




Abdilatif Abdalla na Mwandishi katika ofisi za Africa Events London 1991
 
Mohamed Said ,

..nini kilimsibu Abdilatif mpaka akaamua kuandika shairi "n'shishiyelo ni lilo" ?

..na nimeona ni kama aliandika shairi hilo mwaka 1979.

..hebu tumegee wasifu wa huyu bwana kidogo, na Bw.Mlamali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…