coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,264
- 2,676
Kumbe ayman Zawahir ni mmisri nilikua sijafuatiliasalaam,
mzee wangu unamaanisha nini unapsema baada ya Sadaat kupata ushindi mkubwa kwenye uwanja wa vita? pia Misri iliwahi kutoa watu wawili watata sana ndg Ayman Zawahiri na bwana Sayyid Qutb bila shaka unawafahamu hawa
Sent using Jamii Forums mobile app