Car4Sale Nailengesha Toyota Harrier - TSH 18,500,000/=

darautobroker

Member
Joined
Dec 18, 2020
Posts
35
Reaction score
61






INALENGESHWA🎯 Ama Kweli Njaa-Nuary Ni Sawa Na Kaburi Lisilokuwa Na Mchanga🥱


Bei/Price🏷️👉🏽TSH 18.5M
Call📞+255 747 999 927


TOYOTA HARRIER


Year: 2003
Engine: 2360Cc
Mileage: 72,000+


Transmission: AUTO


✅Moonroof
✅Well-Maintained
✅Exchange Possible


#toyotaharrier
#darautobroker
#showroominayotembea
 
Gari za kike. Njiani siyo stable kabisa. Zipo kama yebo yebo kila mtu anayo
 
Gari mkongwe wa miaka 22 na mileage 72,000+ hiyo + niongeze mwenyewe maili au utaweka uhalisia?
Hebu tuwe wakweli kwenye biashara
 
Kwenye milage ndo kuna uongo kwanini mnachokonoa hizo odi mita huo ni uhuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…