Car4Sale Nailengesha Toyota Harrier - TSH 18,500,000/=

Car4Sale Nailengesha Toyota Harrier - TSH 18,500,000/=

View attachment 3190966

View attachment 3190970
View attachment 3190983
View attachment 3190988
View attachment 3190991
INALENGESHWA🎯 Ama Kweli Njaa-Nuary Ni Sawa Na Kaburi Lisilokuwa Na Mchanga🥱


Bei/Price🏷️👉🏽TSH 18.5M
Call📞+255 747 999 927


TOYOTA HARRIER


Year: 2003
Engine: 2360Cc
Mileage: 72,000+


Transmission: AUTO


✅Moonroof
✅Well-Maintained
✅Exchange Possible


#toyotaharrier
#darautobroker
#showroominayotembea
Nimeiona leo asubuhi maeneo ya sinza wanyama nimemsimamisha aliyekuwa anaiendesha kisha nikapiga naye story kumuuliza bei akanipa bei ya kuuza mbona wewe mleta mada umeongeza bei mara mbili zaidi.
 
View attachment 3190966

View attachment 3190970
View attachment 3190983
View attachment 3190988
View attachment 3190991
INALENGESHWA🎯 Ama Kweli Njaa-Nuary Ni Sawa Na Kaburi Lisilokuwa Na Mchanga🥱


Bei/Price🏷️👉🏽TSH 18.5M
Call📞+255 747 999 927


TOYOTA HARRIER


Year: 2003
Engine: 2360Cc
Mileage: 72,000+


Transmission: AUTO


✅Moonroof
✅Well-Maintained
✅Exchange Possible


#toyotaharrier
#darautobroker
#showroominayotembea
hizo ndo bei zake, we unasema unailengesha😀
 
Kwa kuongezea katika hiyo miaka 22 kwa siku imekuwa ikitembea miles 9
Manaake kama alikua anatokea mwenge kwenda poster akifika poster anaipaki na kurudi kwa mguu ndo mile 9.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wa bongo buana kila jambo kuna uhuni na wizi wizi wa namna
 
Nimeiona leo asubuhi maeneo ya sinza wanyama nimemsimamisha aliyekuwa anaiendesha kisha nikapiga naye story kumuuliza bei akanipa bei ya kuuza mbona wewe mleta mada umeongeza bei mara mbili zaidi.
Ona Aibu. Kwaiyo Ulinisimamisha Tukazungumza?😆
 
Gari za kike. Njiani siyo stable kabisa. Zipo kama yebo yebo kila mtu anayo
Kwa uandishi wako huu, hata Boda ya kwako mwenyewe hujawahi kununua,; Acha wanaume waendeshe magari wanayopenda
 
View attachment 3190966

View attachment 3190970
View attachment 3190983
View attachment 3190988
View attachment 3190991
INALENGESHWA🎯 Ama Kweli Njaa-Nuary Ni Sawa Na Kaburi Lisilokuwa Na Mchanga🥱


Bei/Price🏷️👉🏽TSH 18.5M
Call📞+255 747 999 927


TOYOTA HARRIER


Year: 2003
Engine: 2360Cc
Mileage: 72,000+


Transmission: AUTO


✅Moonroof
✅Well-Maintained
✅Exchange Possible


#toyotaharrier
#darautobroker
#showroominayotembea
Shida umerudisha sana Kilometer nyuma... Wenzako wanaandikaga hata 180,000km maana kidogo inakaribia uhalisia wa kilometer 260,000... Mnatutia sana hasara nyie wauza magari hapa mjini. Na jamaa yenu anayerudisha kilometer nyuma pale round about ya Mlimani City...
 
Gari mkongwe wa miaka 22 na mileage 72,000+ hiyo + niongeze mwenyewe maili au utaweka uhalisia?
Hebu tuwe wakweli kwenye biashara
Wanatuumiza sana hawa wazee wa Reverse... ina maana imeagizwa toka Japan ikiwa na 12,000km tu😄😄😄... hawa jamaa bana
 
Back
Top Bottom