Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Makolo wanacho cha miaka 73huyu utakuta yupo pale singida big stars. sii kibabu pluijm amerudi kunoa timu pale.
ila watz kweli bongo lala, yaani kweli singida big star wamekosa kocha mpaka kuleta kibabu cha miaka 70 [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Makolo wanacho cha miaka 73
We unataka kocha au unataka mtu wa kukubandua?Makolo wanacho cha miaka 73
Nchi ya ovyo San na mmiliki wa klbu hyo pia nae Ni shabiki mandaz siku akifukuzwa huo uwazir huo timu inapoteana mapema snahuyu utakuta yupo pale singida big stars. sii kibabu pluijm amerudi kunoa timu pale.
ila watz kweli bongo lala, yaani kweli singida big star wamekosa kocha mpaka kuleta kibabu cha miaka 70 [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
acha tuu.Nchi ya ovyo San na mmiliki wa klbu hyo pia nae Ni shabiki mandaz siku akifukuzwa huo uwazir huo timu inapoteana mapema sna
Atemwe azam afit simba maajabuKwa viwango vya wachezaji wa ndani bado ni bora sana. Kama bado kuna nafasi kwa wazawa tumchukue tu.
Mbona sureboy alitemwa lakini anang'aa jangwani?Atemwe azam afit simba maajabu
Subiri msimu huu uone atakavyoozea benchi ,atacheza nafasi ya nani pale yanga kwa usajili ule,na hakutemwa azam bali alishinikiza yeye mwenyeweMbona sureboy alitemwa lakini anang'aa jangwani?
Kama nani?imetokea mara kadhaa wachezaji wanaotemwa Azam f.c wakija Simba wanawika na kupata mafanikio.
Mbona sureboy alitemwa lakini anang'aa jangwani?