Yan Kauli ina mana kubwa ..na nakuapia huu mwaka we subiri tu Kuna watu watalia Bora tucheze kimafia Sasa...
Ajabu fountain gate waliopewa mlungula na mbinu za kuikamia Simba , baada ya mechi na Simba, hawajashinda michezo mitatu Hadi Sasa [emoji706][emoji706][emoji706]
Mechi ya yanga na Dodoma Jiji, Dodoma Jiji walipumzisha wachezaji wao 5 wa kikosi cha kwanza na kipa ambaye hajacheza mechi nyingi Tena kipa namba tatu.
Yaani kocha apangiwe wachezaji wa kuanza kucheza mechi na shabiki?!!
Maana ya kikosi kipana ni yapi?
Uyanga na Usimba unaharibu mpira wetu Kwa kuziwazia timu zetu.
Vipi wangeshinda SBS?