Naiomba timu yangu ya Simba Sports Club impe nafasi ya mwisho Ibrahim Ajibu Migomba, bado ana mchango mkubwa

Naiomba timu yangu ya Simba Sports Club impe nafasi ya mwisho Ibrahim Ajibu Migomba, bado ana mchango mkubwa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Mm nimeanza kwenda uwanjani kuiangalia Simba mwaka 1988, enzi hizo kuna Nyota Nyekundu ya akina Roster Ndunguru, faustine kibingwa, Abbas Kuka, Mohamed Mgalike, kulikuwa na Pilsner ya akina Said Mrisho, Idd Msigala, nk.

Simba ile ya Sunday Juma, Aston Pardon, kipa Mosses Mkandawile, Adam seleman, Juma Limonga, nikisema niwataje wote nitawachosha.

Kuna mchezaji kila siku namuota, sio mwingine ni Ibrahim Ajib, naiomba klabu yangu huyu mchezaji alikuwa katika kiwango kikubwa sana akiwa Yanga, Simba tukamrudisha lkn akakutana na changamoto na matokeo yake Chama akawa anamweka benchi, akavunja mkataba na kwenda Azam, baadae Singida, nahisi ss hv hata huko Singida ameshaachana nao.

Ibrahim Ajib bado ana uwezo mkubwa sana, Ajib anaipenda Simba, bado ana mchango mkubwa sana.

Nakuomba Try again, katika wachezaji wazawa muiteni Ajib mkae nae, huyo fundi bado ana kipaji sana, tutapoteza hazina hiyo.

Nina uhakika Ajib kwa kocha huyu mbrazil hawezi kosa namba.Ninaomba Ajib aitwe mazoezini kocha amuangalie na atoe tathmini kuhusu kiungo huyo ambaye wengi sio tu tunampenda bali pia tunamkubali.

Msinipuuze viongozi.Please
 
Mm nimeanza kwenda uwanjani kuiangalia Simba mwaka 1988, enzi hizo kuna Nyota Nyekundu ya akina Roster Ndunguru, faustine kibingwa, Abbas Kuka, Mohamed Mgalike, kulikuwa na Pilsner ya akina Said Mrisho, Idd Msigala, nk.

Simba ile ya Sunday Juma, Aston Pardon, kipa Mosses Mkandawile, Adam seleman, Juma Limonga, nikisema niwataje wote nitawachosha.

Kuna mchezaji kila siku namuota, sio mwingine ni Ibrahim Ajib, naiomba klabu yangu huyu mchezaji alikuwa katika kiwango kikubwa sana akiwa Yanga, Simba tukamrudisha lkn akakutana na changamoto na matokeo yake Chama akawa anamweka benchi, akavunja mkataba na kwenda Azam, baadae Singida, nahisi ss hv hata huko Singida ameshaachana nao.

Ibrahim Ajib bado ana uwezo mkubwa sana, Ajib anaipenda Simba, bado ana mchango mkubwa sana.

Nakuomba Try again, katika wachezaji wazawa muiteni Ajib mkae nae, huyo fundi bado ana kipaji sana, tutapoteza hazina hiyo.

Nina uhakika Ajib kwa kocha huyu mbrazil hawezi kosa namba.Ninaomba Ajib aitwe mazoezini kocha amuangalie na atoe tathmini kuhusu kiungo huyo ambaye wengi sio tu tunampenda bali pia tunamkubali.

Msinipuuze viongozi.Please
Ibrahimu Ajibu umeamua kujipigia promo mwenyewe [emoji41]
 
Timu zote zimkatae? Simba alishindwa, Azam kashindwa, Singida pia kadorora.

Kinachomtesa huyo dogo ni ego. Nilipata kusikia interview yake moja. Wanamuuliza 'kila mtu alitegemea uende Ulaya kucheza mpira, kwa kiwango hiki unadhani utaweza kwenda?'.

Dogo kwa jeuri, anajibu 'siyo lazima mimi niende. Hata wao wanaweza kwenda'. Na wala hajali.

Mpira si kipaji tu. Mpira unahitaji nidhamu na juhudi. Kuna wachezaji wana vipaji vya kawaida sana, lakini wanakiwasha kila leo. Si kwa sababu ya vipaji vyao, ila kwa sababu ya nidhamu na kuheshimu majukumu yao.

Huyo dogo hapana. Anaweza kwenda IHEFU huko akadeke. Simba kwa sasa hatuihitaji wachezaji wa aina yake.

Kama wewe ndiye Ajib mwenyewe, nakuasa kama mdogo wangu, badilika. Acha uswahili, ongeza juhudi. Achana na maneno wanayokujaza kuwa wewe ni fundi. Ufundi wako pekee uonekane kwenye pitch, si midomoni kwa machawa wako.

Una nafasi ya kubadilika na kuwika kwa mara nyingine. Zingatia nidhamu na mazoezi kwa sana.

Nakutakia kila la kheri.
 
Mm nimeanza kwenda uwanjani kuiangalia Simba mwaka 1988, enzi hizo kuna Nyota Nyekundu ya akina Roster Ndunguru, faustine kibingwa, Abbas Kuka, Mohamed Mgalike, kulikuwa na Pilsner ya akina Said Mrisho, Idd Msigala, nk.

Simba ile ya Sunday Juma, Aston Pardon, kipa Mosses Mkandawile, Adam seleman, Juma Limonga, nikisema niwataje wote nitawachosha.

Kuna mchezaji kila siku namuota, sio mwingine ni Ibrahim Ajib, naiomba klabu yangu huyu mchezaji alikuwa katika kiwango kikubwa sana akiwa Yanga, Simba tukamrudisha lkn akakutana na changamoto na matokeo yake Chama akawa anamweka benchi, akavunja mkataba na kwenda Azam, baadae Singida, nahisi ss hv hata huko Singida ameshaachana nao.

Ibrahim Ajib bado ana uwezo mkubwa sana, Ajib anaipenda Simba, bado ana mchango mkubwa sana.

Nakuomba Try again, katika wachezaji wazawa muiteni Ajib mkae nae, huyo fundi bado ana kipaji sana, tutapoteza hazina hiyo.

Nina uhakika Ajib kwa kocha huyu mbrazil hawezi kosa namba.Ninaomba Ajib aitwe mazoezini kocha amuangalie na atoe tathmini kuhusu kiungo huyo ambaye wengi sio tu tunampenda bali pia tunamkubali.

Msinipuuze viongozi.Please
Nimekutafutia tusi yote nimeona madogo!
 
Ni mchezaji WA kawaida Sana. Anazidiwa na wachezaji wengi WA kitanzania. Bongo huwa tunatabia ya kusifia tu vipaji uchwara ni kama Haruna Moshi Boban alikuwa anasifiwa sijui anakipaji wakati kawaida Sana.
 
Mm nimeanza kwenda uwanjani kuiangalia Simba mwaka 1988, enzi hizo kuna Nyota Nyekundu ya akina Roster Ndunguru, faustine kibingwa, Abbas Kuka, Mohamed Mgalike, kulikuwa na Pilsner ya akina Said Mrisho, Idd Msigala, nk.

Simba ile ya Sunday Juma, Aston Pardon, kipa Mosses Mkandawile, Adam seleman, Juma Limonga, nikisema niwataje wote nitawachosha.

Kuna mchezaji kila siku namuota, sio mwingine ni Ibrahim Ajib, naiomba klabu yangu huyu mchezaji alikuwa katika kiwango kikubwa sana akiwa Yanga, Simba tukamrudisha lkn akakutana na changamoto na matokeo yake Chama akawa anamweka benchi, akavunja mkataba na kwenda Azam, baadae Singida, nahisi ss hv hata huko Singida ameshaachana nao.

Ibrahim Ajib bado ana uwezo mkubwa sana, Ajib anaipenda Simba, bado ana mchango mkubwa sana.

Nakuomba Try again, katika wachezaji wazawa muiteni Ajib mkae nae, huyo fundi bado ana kipaji sana, tutapoteza hazina hiyo.

Nina uhakika Ajib kwa kocha huyu mbrazil hawezi kosa namba.Ninaomba Ajib aitwe mazoezini kocha amuangalie na atoe tathmini kuhusu kiungo huyo ambaye wengi sio tu tunampenda bali pia tunamkubali.

Msinipuuze viongozi.Please
Ajib hataki mazoezi ndio shda yake kubwa .
 
Ni mchezaji WA kawaida Sana. Anazidiwa na wachezaji wengi WA kitanzania. Bongo huwa tunatabia ya kusifia tu vipaji uchwara ni kama Haruna Moshi Boban alikuwa anasifiwa sijui anakipaji wakati kawaida Sana.
Kwa ajibu nakubali ila Boban unamkosea heshima au wakati anacheza hukuwahi kumwona
 
Timu zote zimkatae? Simba alishindwa, Azam kashindwa, Singida pia kadorora.

Kinachomtesa huyo dogo ni ego. Nilipata kusikia interview yake moja. Wanamuuliza 'kila mtu alitegemea uende Ulaya kucheza mpira, kwa kiwango hiki unadhani utaweza kwenda?'.

Dogo kwa jeuri, anajibu 'siyo lazima mimi niende. Hata wao wanaweza kwenda'. Na wala hajali.

Mpira si kipaji tu. Mpira unahitaji nidhamu na juhudi. Kuna wachezaji wana vipaji vya kawaida sana, lakini wanakiwasha kila leo. Si kwa sababu ya vipaji vyao, ila kwa sababu ya nidhamu na kuheshimu majukumu yao.

Huyo dogo hapana. Anaweza kwenda IHEFU huko akadeke. Simba kwa sasa hatuihitaji wachezaji wa aina yake.

Kama wewe ndiye Ajib mwenyewe, nakuasa kama mdogo wangu, badilika. Acha uswahili, ongeza juhudi. Achana na maneno wanayokujaza kuwa wewe ni fundi. Ufundi wako pekee uonekane kwenye pitch, si midomoni kwa machawa wako.

Una nafasi ya kubadilika na kuwika kwa mara nyingine. Zingatia nidhamu na mazoezi kwa sana.

Nakutakia kila la kheri.

Ingawa ni kweli Ajibu ana matatizo yake Ila alicho ongea sahihi kabisa
Ulaya wanaenda ma engineer hata waandishi wa habari..
Skysports Wana Melissa Red katokea South Africa....

Hoja yake ina mashiko wala sio dharau...kama tunataka yeye aende Ulaya Kwa mpira ...Sisi wengine je taaluma zetu zinatupeleka wapi...
 
Back
Top Bottom