Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mm nimeanza kwenda uwanjani kuiangalia Simba mwaka 1988, enzi hizo kuna Nyota Nyekundu ya akina Roster Ndunguru, faustine kibingwa, Abbas Kuka, Mohamed Mgalike, kulikuwa na Pilsner ya akina Said Mrisho, Idd Msigala, nk.
Simba ile ya Sunday Juma, Aston Pardon, kipa Mosses Mkandawile, Adam seleman, Juma Limonga, nikisema niwataje wote nitawachosha.
Kuna mchezaji kila siku namuota, sio mwingine ni Ibrahim Ajib, naiomba klabu yangu huyu mchezaji alikuwa katika kiwango kikubwa sana akiwa Yanga, Simba tukamrudisha lkn akakutana na changamoto na matokeo yake Chama akawa anamweka benchi, akavunja mkataba na kwenda Azam, baadae Singida, nahisi ss hv hata huko Singida ameshaachana nao.
Ibrahim Ajib bado ana uwezo mkubwa sana, Ajib anaipenda Simba, bado ana mchango mkubwa sana.
Nakuomba Try again, katika wachezaji wazawa muiteni Ajib mkae nae, huyo fundi bado ana kipaji sana, tutapoteza hazina hiyo.
Nina uhakika Ajib kwa kocha huyu mbrazil hawezi kosa namba.Ninaomba Ajib aitwe mazoezini kocha amuangalie na atoe tathmini kuhusu kiungo huyo ambaye wengi sio tu tunampenda bali pia tunamkubali.
Msinipuuze viongozi.Please
Simba ile ya Sunday Juma, Aston Pardon, kipa Mosses Mkandawile, Adam seleman, Juma Limonga, nikisema niwataje wote nitawachosha.
Kuna mchezaji kila siku namuota, sio mwingine ni Ibrahim Ajib, naiomba klabu yangu huyu mchezaji alikuwa katika kiwango kikubwa sana akiwa Yanga, Simba tukamrudisha lkn akakutana na changamoto na matokeo yake Chama akawa anamweka benchi, akavunja mkataba na kwenda Azam, baadae Singida, nahisi ss hv hata huko Singida ameshaachana nao.
Ibrahim Ajib bado ana uwezo mkubwa sana, Ajib anaipenda Simba, bado ana mchango mkubwa sana.
Nakuomba Try again, katika wachezaji wazawa muiteni Ajib mkae nae, huyo fundi bado ana kipaji sana, tutapoteza hazina hiyo.
Nina uhakika Ajib kwa kocha huyu mbrazil hawezi kosa namba.Ninaomba Ajib aitwe mazoezini kocha amuangalie na atoe tathmini kuhusu kiungo huyo ambaye wengi sio tu tunampenda bali pia tunamkubali.
Msinipuuze viongozi.Please