Naiona dalili ya Pamba kupanga matokeo dhidi ya Yanga kwa kumuachia yanga ashinde magoli mengi

Naiona dalili ya Pamba kupanga matokeo dhidi ya Yanga kwa kumuachia yanga ashinde magoli mengi

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Naiona dalili ya match fixing mapema tu kwenye mechi ya Yanga kesho dhidi ya Pamba jiji na hii inachagizwa na kauli za kipuuzi za viongozi wa pamba kujifanya wanajiweka pembeni kwenye mechi ya kesho eti kisa wao ni mashabiki wa Yanga.

"KWA HERUFI KUBWA MIMI KAMA MDAU WA SOKA NAPINGA VITENDO HIVI KWA NGUVU".
 
Mimi ni Yanga ila kwakua ninamapenzi na soccer itoshe kusema kesho tunaenda kushuhudia ubakwaji wa mpira wa Tanzania toka nchi hii iumbwe,

Nb:
Mdhamini mkuu wa yanga yangu GSM wa pamba ni GSM na jezi watakazo vaa team shindani ni hii
images (50).jpeg
 
Pamba wakipanga matokeo ni juu yao.
Wakishuka daraja kwa mara nyingine hakutakuwa na kuwatoa tena shimoni mpaka miaka 20 mingine.
 
Mimi ni Yanga ila kwakua ninamapenzi na soccer itoshe kusema kesho tunaenda kushuhudia ubakwaji wa mpira wa Tanzania toka nchi hii iumbwe,

Nb:
Mdhamini mkuu wa yanga yangu GSM wa pamba ni GSM na jezi watakazo vaa team shindani ni hiiView attachment 3113604
Ondoa uadhamini wa GSM uweke wa kwako. Kwa vile GSM anaidhamini yanga, basi haruhusiwe kutangza biashara zake huko mwanza na sehemu nyingine mikoani kwa kupitia jezi. Ujinga kabisa huo.
 
Naiona dalili ya match fixing mapema tu kwenye mechi ya Yanga kesho dhidi ya Pamba jiji na hii inachagizwa na kauli za kipuuzi za viongozi wa pamba kujifanya wanajiweka pembeni kwenye mechi ya kesho eti kisa wao ni mashabiki wa Yanga.

"KWA HERUFI KUBWA MIMI KAMA MDAU WA SOKA NAPINGA VITENDO HIVI KWA NGUVU".
Simba msimu uliopita alivyofungwa tano achunguzwe, huenda aliuza mechi.
 
Ondoa uadhamini wa GSM uweke wa kwako. Kwa vile GSM anaidhamini yanga, basi haruhusiwe kutangza biashara zake huko mwanza na sehemu nyingine mikoani kwa kupitia jezi. Ujinga kabisa huo.
Mimi shabiki wa Yanga ila GSM haishii kudhamini team tu anaenda mbali hadi kupanga matokeo kwa team anayo udhamini utayaami maneno yangu baada ya game ya leo kuisha
images (50).jpeg
 
Naiona dalili ya match fixing mapema tu kwenye mechi ya Yanga kesho dhidi ya Pamba jiji na hii inachagizwa na kauli za kipuuzi za viongozi wa pamba kujifanya wanajiweka pembeni kwenye mechi ya kesho eti kisa wao ni mashabiki wa Yanga.

"KWA HERUFI KUBWA MIMI KAMA MDAU WA SOKA NAPINGA VITENDO HIVI KWA NGUVU".

"KWA HERUFI KUBWA MIMI KAMA MDAU WA SOKA NAPINGA VITENDO HIVI KWA NGUVU".📌🔨
 
Naiona dalili ya match fixing mapema tu kwenye mechi ya Yanga kesho dhidi ya Pamba jiji na hii inachagizwa na kauli za kipuuzi za viongozi wa pamba kujifanya wanajiweka pembeni kwenye mechi ya kesho eti kisa wao ni mashabiki wa Yanga.

"KWA HERUFI KUBWA MIMI KAMA MDAU WA SOKA NAPINGA VITENDO HIVI KWA NGUVU".
Tangu mechi ya kwanza huwa mnaongea haya maneno, mechi ikishaisha mnarudi kusema timu imeshuka viwango.
 
Naiona dalili ya match fixing mapema tu kwenye mechi ya Yanga kesho dhidi ya Pamba jiji na hii inachagizwa na kauli za kipuuzi za viongozi wa pamba kujifanya wanajiweka pembeni kwenye mechi ya kesho eti kisa wao ni mashabiki wa Yanga.

"KWA HERUFI KUBWA MIMI KAMA MDAU WA SOKA NAPINGA VITENDO HIVI KWA NGUVU".
Umekuwa sheikh yahya tokea lini? Timu yako ndio kinara wa kupanga matokeo kwa kuhonga marefa alafu unaleta upuuzi wako hapa!
 
Mimi ni Yanga ila kwakua ninamapenzi na soccer itoshe kusema kesho tunaenda kushuhudia ubakwaji wa mpira wa Tanzania toka nchi hii iumbwe,

Nb:
Mdhamini mkuu wa yanga yangu GSM wa pamba ni GSM na jezi watakazo vaa team shindani ni hiiView attachment 3113604
Labda tuulizane mpka sasa Pamba kashinda mechi ngapi, karuhusu goli ngapi na kafunga goli ngapi ili mnapo bwabwaja muwe na facts
 
Back
Top Bottom