Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si maduka tayari mnayo huko? Limebaki moja ambalo tunalisugulisha benchi hadi liseme.Hata zile 5 tulizopigwa Makolo zilikuwa za kupangwa
Yanga Bingwa.Naiona dalili ya match fixing mapema tu kwenye mechi ya Yanga kesho dhidi ya Pamba jiji na hii inachagizwa na kauli za kipuuzi za viongozi wa pamba kujifanya wanajiweka pembeni kwenye mechi ya kesho eti kisa wao ni mashabiki wa Yanga.
"KWA HERUFI KUBWA MIMI KAMA MDAU WA SOKA NAPINGA VITENDO HIVI KWA NGUVU".
Kwahiyo unataka mpendelewe ninyi tu,ungelalamikia kwanza penati ya Dodoma Jiji tungekuona wewe ni mzalendo,unatangaza amani Huku umeshika mapanga.Naiona dalili ya match fixing mapema tu kwenye mechi ya Yanga kesho dhidi ya Pamba jiji na hii inachagizwa na kauli za kipuuzi za viongozi wa pamba kujifanya wanajiweka pembeni kwenye mechi ya kesho eti kisa wao ni mashabiki wa Yanga.
"KWA HERUFI KUBWA MIMI KAMA MDAU WA SOKA NAPINGA VITENDO HIVI KWA NGUVU".