Pre GE2025 Naiona kambi ya CHADEMA Kaskazini hiyoo inaeenda CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waende salama.
 
Hivi kweli chama kinachoshindwa kulipa 50m TZS za ukumbi wa mikutano kinawezaje kuwa muhimu na kusimamisha uchaguzi usifanyike? Kivipi yaani?
Traole anatoka chama gani?

Kwanin dunia na Afrika imempokea kwa mikono miwili
 
Vp unataka na wewe wakutafutie passport uende nao ubelgiji na canada?
 
Chama kinaongozwa na wanasheria .Kwa mara ya kwanza nitawapa kura yangu CCM kwa ngazi zote
 
Yaani, umefirisika namna hii siku hizi??

we used you as point of reference!!!

Ritz unatia aibu sana, kwa post zako za KITOTO, waachie akina Luke Mwashambwa.

Acha kujivunjia ADABU MWENYEWE!!🤔🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…