kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kesho wako na Yanga, mechi ifuatayo anakutana na Azam, kisha Namungo na baadae anatafuta pointi kwa Coastal.
Mpira hautabiriki ila ninamtabiria mabaya mechi nne (4) mfululizo.
Atapoteza mechi zote hizo.
Mpira hautabiriki ila ninamtabiria mabaya mechi nne (4) mfululizo.
Atapoteza mechi zote hizo.