William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
- Thread starter
-
- #21
Ukikuta zaidi ya elfu ishirini niite mbwa.Kiongozi mpunga upo wa maana but wameogopa wakitangaza mapema vikumbo vitkuwa vingi kwenye mchakato wa kuwapata hawa makarani watu na wasimamizi
Ukisima uzi upya utakuta ushaanza kuongea😅😅😅😅
Duuh lakin mda utaongea!!!!!
Msiwe mnajiita majina ya ajabu.Ona sasa comment yako inavokuumbuaUkikuta zaidi ya elfu ishirini niite mbwa.
Imemuumbua vipi kwani ishajulikana ni bei gani?Msiwe mnajiita majina ya ajabu.Ona sasa comment yako inavokuumbua
40k per dayImemuumbua vipi kwani ishajulikana ni bei gani?
We umejuaje Kama ni 40k per day?40k per day
Sooon utakuwa mbwaUkikuta zaidi ya elfu ishirini niite mbwa.
kwaio umeamua kuthibitisha n 40k per day?We umejuaje Kama ni 40k per day?
Alafu si inasemekana mambo ya sensa ni Siri Sasa umejuaje hicho kiasi?
Ila wabongo jamani hata swala waambiwe ni Siri lakin lazima ulikute mitandaoni .
Haya mambo sio ya kukimbilia kuongea mitandaoni ni bahat iliyoje hapa jf hatujulikani Ila kitendo ulichofanya ni kosa kwa mujibu wa kanuni za sensa sura ya 351.
Yaan wee acha tu, wanatafuta kazi lkn ni wavivu wa akili.Walimu sawa.Ila hao wanafunzi na watu ambao hawana kazi maalum(hata kama wana elimu)hapana. Wameharibu kazi ya postikodi hadi basi. Wana haraka, ubabaishaji, wanaruka kazi wakiwaza posho tu.Wanajua hakuna wa kuwawajibisha wakishaondoka.Walimu wana nidhamu na kujitambua.
Mkuu umekosea sana kudhibitisha...We umejuaje Kama ni 40k per day?
Alafu si inasemekana mambo ya sensa ni Siri Sasa umejuaje hicho kiasi?
Ila wabongo jamani hata swala waambiwe ni Siri lakin lazima ulikute mitandaoni .
Haya mambo sio ya kukimbilia kuongea mitandaoni ni bahat iliyoje hapa jf hatujulikani Ila kitendo ulichofanya ni kosa kwa mujibu wa kanuni za sensa sura ya 351.
Utaitwa mbwa siku sio nyingiUkikuta zaidi ya elfu ishirini niite mbwa.
Usikariri.Siri ni kulinda taarifa binafsi za MTU.Malipo ya KAZI ni Siri umeambiwa na Nani?We umejuaje Kama ni 40k per day?
Alafu si inasemekana mambo ya sensa ni Siri Sasa umejuaje hicho kiasi?
Ila wabongo jamani hata swala waambiwe ni Siri lakin lazima ulikute mitandaoni .
Haya mambo sio ya kukimbilia kuongea mitandaoni ni bahat iliyoje hapa jf hatujulikani Ila kitendo ulichofanya ni kosa kwa mujibu wa kanuni za sensa sura ya 351.
Huoni aibu na andiko lako hiliWatu hasa watumishi kwa miaka ya nyuma serikali ilitumia kazi maalumu na kuwapa posho kwa dm ili kuongeza motisha na tija na uhakika wa kazi bora kwani ni rahisi kudhibiti utendaji wao.
Kwa kile kinachoonekana nia ya Viongozi wa serikali kuzidi kuchonganisha Raisi na kila kundi baada ya ahadi hewa, Loliondo, na hali ngumu ya maisha serikali imeruhusu wasio na ajila serikali kuomba zoezi la sensa ila kuajili na kulipa ujira mdogo kabisa eti kubana bajeti. Tsh 10,000 hadi 20, 000/- kwa siku. Je nini madhara yake.
- Watu wengi sana wameomba na kuzua ushindani usio na msingi
- Watu wengi sana watakosa na kuona kama walisumbuliwa kutumia GHARAMA na muda na kuwa na matumaini na kazi hiyo
- Wengi wameanza kutafuta njia za ujanja kupata nafasi hizo ata kuhonga wakitegemea ujila wa kutosha tsh 60,000 kwa siku 21.
- Watu wengi watatapeliwa na hawatapata ajila kwa nafsi zilizopo.
- Majina yakitoka hisia za rushwa
kushamiri serikalini kitakuwa kikubwa sababu hakuna vigezo dhahili vitakavyotumika.
- Chuki dhidi ya ujira mdogo, kukosa nafasi na upendeleo zitaongezeka.
- Walimu na shida zao wakikosa watajihisi kutengwa kwani zoezi hili muda wote walihisi ni halali yao.
Ukweli nasisitiza tu!!! Hizo hisia za uzalendo mfanye uko juu. Sio chini kwa makapuku. Huu uzalendo na dhuluma kwa masikini kwa uzalendo wa kulazimishana sio sawa. Sio uko juu mwaka wa tatu mnalamba maposho makubwa makubwa ya maandalizi ya sensa alafu makalani muwaaimbie uzalendo.
Sensa ni zoezi muhimu sana kwa taifa. Na kunawakati nazani 2008 serikali ilihairisha ili ijipange na ifanye kitu cha uhakika. Msilipue. Sensa ya watu na makazi kwa mipango bora ya Taifa. Makalani ndio wahusika wakuu ujira wao uwe na tija.
Umeonekana mbwa sasa, matambo ya kihaya ovyoUkikuta zaidi ya elfu ishirini niite mbwa.
Kuna hatari akabaki peke yake na uzalendo wakeKamishna kasema uzalendo mbele syo mambo ya pesa