Wakuu salaam,
Simba chini ya Pablo imekua na mabadiliko ya haraka sana, ukiwatizama wachezaji unaona kabisa ile nguvu, ari na uchu wa kuipambania team vimerejea kwa kishindo.
Ukiyatizama mashindano ya shirikisho kwa ujumla, utaona team kubwa shindani kwa simba ni TP MAZEMBE & PIRAMYD, kwa niionavyo Simba chini ya pablo uwezekano wa kufika nusu/final ni mkubwa sana na kama mungu atapenda pengine tunaweza kabisa kuibeba ndoo ya shirikisho.
MUNGU IBARIKI SIMBA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
Simba chini ya Pablo imekua na mabadiliko ya haraka sana, ukiwatizama wachezaji unaona kabisa ile nguvu, ari na uchu wa kuipambania team vimerejea kwa kishindo.
Ukiyatizama mashindano ya shirikisho kwa ujumla, utaona team kubwa shindani kwa simba ni TP MAZEMBE & PIRAMYD, kwa niionavyo Simba chini ya pablo uwezekano wa kufika nusu/final ni mkubwa sana na kama mungu atapenda pengine tunaweza kabisa kuibeba ndoo ya shirikisho.
MUNGU IBARIKI SIMBA, MUNGU IBARIKI TANZANIA