Naiona Simba SC ikifungwa na Coastal Union

Naiona Simba SC ikifungwa na Coastal Union

Kwa hiyo tumekubalina ile kauli mbiu yetu ya Ubaya Ubwege ndio imekufa rasmi baada ya kipigo kutoka kwa Wananchi?
 
Kama coastal iliweza kupata goli mbili kwenye mechi na Azam basi kesho tusishangae kuona Simba ikifungwa tena na wana mangushi.

Wazee wa mikeka muuweni Simba, muuweni Azam mtakuja kunishukuru kesho.
Unaona mbali sana chifu

Vipi umecheki hali yako ya kimaisha 5 years to come?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Unaona mbali sana chifu

Vipi umecheki hali yako ya kimaisha 5 years to come?
Ukiwa na parameters na variables zote muhimu unashindwaje kujuwa kitu kama iki ?
 
Kama coastal iliweza kupata goli mbili kwenye mechi na Azam basi kesho tusishangae kuona Simba ikifungwa tena na wana mangushi.

Wazee wa mikeka muuweni Simba, muuweni Azam mtakuja kunishukuru kesho.
Coastal Hana timu ya kujifunga Simba.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Upo sahihi na ile mechi dhidi ya Azam kipa aliyepangwa hayupo sharp na kachangia kikubwa kufungwa kwa Coastal sijui Matampi yuko wapi.
Matampi nadhani ana mgogoro na viongozi masuala ya mikataba yule Kipa ni WA umisseta piga popote waya
 
Kama unadhani coastal ya msimu huu ni nyepesi basi subiri kesho nakuhakikishia utabaki mdomo wazi.

Tulio angalia mechi ya costal na azam ni kwamba azam licha ya uwekezaji mkubwa waliperekeshwa vibaya mno

Beki za azam zilikuwa kama za mtibwa sugar

Kilichoiponza costal kipa wao rey matampi hakuwepo yule kipa wa sasa akawa anafungwa magoli mepesi ila azam cha moto walikiona

Pia kocha wa costal ni kocha haswa jamaa anausoma mchezo na kubadiri upepo kwa kasi

Azam wqlianza kwa kasi jamaa akawasoma fasta akawabadirishia mbinu mpira ukawa wa moto vibaya mno
Matampi akiwepo sawa ila kama hatakuwepo coastal ni wepesi Kipa sio tu hawezi kudaka ila pia kupanga beki zake ni mtihani tangu mechi za kagame Cecafa alikuwa hivyo
 
Kama coastal iliweza kupata goli mbili kwenye mechi na Azam basi kesho tusishangae kuona Simba ikifungwa tena na wana mangushi.

Wazee wa mikeka muuweni Simba, muuweni Azam mtakuja kunishukuru kesho.
Ilo ni suala ambalo lipo wazi kwa mtu yoyote anaejua mpira.
 
Ukiwa kolo lazima unakuwa mbumbumbu sijui kwanini..,yaani mechi ya 3 mfululuzo unashonwa alafu unaleta ngojera hapa.

Karudie ile mechi ya juzi alafu uje useme goli ngapi mlipigwa/ingizwa na nyny mlifunga ngapi.
Mi nimechambua technically bila upendeleo wa upande wowote unaanza kunituhumu
 
Ukiwa kolo lazima unakuwa mbumbumbu sijui kwanini..,yaani mechi ya 3 mfululuzo unashonwa alafu unaleta ngojera hapa.

Karudie ile mechi ya juzi alafu uje useme goli ngapi mlipigwa/ingizwa na nyny mlifunga ngapi.
Ile mechi imeisha walioshinda wanelala uwanjani hoi
 
Ile mechi imeisha walioshinda wanelala uwanjani hoi
Ndio dizaini ya mtu anayebakwa kisha unasema kanibaka kwa mbinde sana. Kubakwa ni kubakwa tu iwe kwa mbinde au kiuwepesi. Sasa kama mbakaji atalala hoi, je huyo mbakwaji sipati picha atakuwa hoi kiasi gani
 
Ndio dizaini ya mtu anayebakwa kisha unasema kanibaka kwa mbinde sana. Kubakwa ni kubakwa tu iwe kwa mbinde au kiuwepesi. Sasa kama mbakaji atalala hoi, je huyo mbakwaji sipati picha atakuwa hoi kiasi gani
Basi tufanye mbakaji naye alipigwa ndole za kutosha wakati anabaka mpaka akawa hoi utafikiri na yeye alibakwa.
 
Back
Top Bottom