Naiona Tanzania iliyopoteza muelekeo. Kama ni bichwa la treni limepoteza uelekeo

Naiona Tanzania iliyopoteza muelekeo. Kama ni bichwa la treni limepoteza uelekeo

Mimi nadhani tuache kutishana na maisha yaendelee.
Zanzibar wanaongozwa kwa staili hii muda mrefu tu, vipi hayo uliyoyatabiri ndio wanayoyaishi?!?
Maandiko matakatifu yanasema...We were not created with spirit of fear.. Kwanini mnaumia watu wakiwa huru na “fear”!
 
Kama ilivyo kwa treni kichwa kikipoteza uelekeo basi mabehewa yote yanakuwa yamepoteza uelekeo.

Ndivyo ilivyosasa ile hali ya taifa kutengemaa kidogo sasa inakwenda kupotea kabisa. Nidhamu kwa watumishi wa umma, nidhamu ya wananchi kutii sheria inakwenda kupotea. Ufisadi nao utarudi kwa kasi mithiri ya baruti imeripuka.

Jiulize kama jeshi la Polisi ni lilelile na makamanda ni walewale kwa nini wizi na mauaji yamerudi kwa kasi? Dar es salaam ni pa kutilia mfano tu lakini hata mikoani waharifu wanajiachia. Pitia vyombo vya habari utapata majibu.

Mbaya zaidi mkuu wa vyombo vya usalama analalama kuwa anasoma mitandao ya kijamii juu ya kuongezeka uhalifu.

Kwa ufupi kama taifa hatuna jinsi lakini tukubali kuwa sasa hatuna muelekeo thabiti.
So help us God🤲🙏!
 
"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.

Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?

Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?

Maoni ya wadau
[emoji117] Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.

[emoji117]Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.

Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
 
Na hakuna nchi ambayo mnaweza kwenda ukimbizini! Afadhali kina Lema, nyie mtavumilia mateso hapa hapa, chungeni roho zenu tu, msije mkawai mbele ya haki!
 
"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.

Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?

Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?

Maoni ya wadau
[emoji117] Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.

[emoji117]Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.

Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
So help us God by sending to us another JPM🙏! Or good still, re-incernate the spirit of JPM through mom Samie, please God, we pray by Your Holy Names, Amen 🙏!
 
"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.

Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
"Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.."????
Siyo mapepo ya Corona yalimaliza uhai wake? Yalitii?
 
Kuna tofauti kati ya matukio ya uhalifu kuongezeka na matukio ya uhalifu kuripotiwa.

Kinachoendelea sasa kwa sehemu kubwa ni matukio ya uhalifu kuzidi kuripotiwa, maana uhuru na fursa ya kufanya hivyo imerejeshwa.

Kwa mfano, tukio la watu zaidi ya 40 kufariki wakati wa kuaga maiti ya Magufuli halikuwahi kutolewa taarifa rasmi na serikali (idadi hiyo na majina yote kutolewa hadharani) japokuwa ni kweli lilitokea na watu binafsi waliliripoti hadharani.
 
"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.

Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?

Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?

Maoni ya wadau
[emoji117] Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.

[emoji117]Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.

Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
Sasa hayupo au Gwajima atamrudisha akalie kiti? kila kiongozi ana style yake, wacha mama achape kazi.
 
Kuna tofauti kati ya matukio ya uhalifu kuongezeka na matukio ya uhalifu kuripotiwa.

Kinachoendelea sasa kwa sehemu kubwa ni matukio ya uhalifu kuzidi kuripotiwa, maana uhuru na fursa ya kufanya hivyo imerejeshwa.

Kwa mfano, tukio la watu zaidi ya 40 kufariki wakati wa kuaga maiti ya Magufuli halikuwahi kutolewa taarifa rasmi na serikali (idadi hiyo na majina yote kutolewa hadharani) japokuwa ni kweli lilitokea na watu binafsi waliliripoti hadharani.
Empty mind
 
Nendeni mkafufue mzoga wa kule chattle uje uziie ujambazi.
 
Back
Top Bottom