Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
KwishneyyyyyyyMtamkumbuka hayati JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwishneyyyyyyyMtamkumbuka hayati JPM
Wapo kwenye usingizi mzitoTatizo Sukuma Gang bado hawajaamini kilicho na kinachotokea hivyo wamejiunga kuonesha aliyepita japo hayupo ANAFAA kuliko aliyepo
Kwani polisi wameacha wajibu wao?.Ni kweli..Hali sio nzuri Sasa hivi. Ujambazi imerudi kwa bidii Sana.
Inawezekana hata wewe ni mmojawapoUnauliza jibu?
Ujambazi uliisha lini?Ni kweli..Hali sio nzuri Sasa hivi. Ujambazi imerudi kwa bidii Sana.
si mawingu yote yanaleta mvuaDalili ya mvua ni mawingu
So help us God🤲🙏!Kama ilivyo kwa treni kichwa kikipoteza uelekeo basi mabehewa yote yanakuwa yamepoteza uelekeo.
Ndivyo ilivyosasa ile hali ya taifa kutengemaa kidogo sasa inakwenda kupotea kabisa. Nidhamu kwa watumishi wa umma, nidhamu ya wananchi kutii sheria inakwenda kupotea. Ufisadi nao utarudi kwa kasi mithiri ya baruti imeripuka.
Jiulize kama jeshi la Polisi ni lilelile na makamanda ni walewale kwa nini wizi na mauaji yamerudi kwa kasi? Dar es salaam ni pa kutilia mfano tu lakini hata mikoani waharifu wanajiachia. Pitia vyombo vya habari utapata majibu.
Mbaya zaidi mkuu wa vyombo vya usalama analalama kuwa anasoma mitandao ya kijamii juu ya kuongezeka uhalifu.
Kwa ufupi kama taifa hatuna jinsi lakini tukubali kuwa sasa hatuna muelekeo thabiti.
Usitetee yasiyotetewa na usituhumu yasiyo tuhumika🤫!Endeleeni kuunda magenge ya uhalifu ili kuutia doa huu uongozi wa sasa.
Ila nawaambia hamtafanikiwa hata kidogo
So help us God by sending to us another JPM🙏! Or good still, re-incernate the spirit of JPM through mom Samie, please God, we pray by Your Holy Names, Amen 🙏!"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.
Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?
Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?
Maoni ya wadau
[emoji117] Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.
[emoji117]Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.
Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
"Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.."????"Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.
Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
Sasa hayupo au Gwajima atamrudisha akalie kiti? kila kiongozi ana style yake, wacha mama achape kazi."Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu,naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema 'Mama turudishie',IGP kaliangalie hilo vizuri" -- Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na wazee Dar es salaam.
Swali; Tangu aliyekuwa Rais wa JMT John Magufuli kufariki mbona haya matukio yanarudi kwa kasi?
Mbona madawa ya kulevya mitaani yanarudi kwa kasi sana na siku za karibuni kuna mzigo mkubwa ulikuwa unaingizwa nchini?
Maoni ya wadau
[emoji117] Sio IGP bali aliyekuwa nyuma ya IGP alikuwa ni Moto usiosogeleka! Tunashukuru kuwa mmeanza kuona tofauti ndani ya kipindi hiki kifupi.Jiwe was real hard mpaka majambazi walipiga saluti.
[emoji117]Haki nobody like JPM. Alikuwa one man show.Nguvu kubwa isiyoonekana nyuma yake ilinyamazisha kelele na fujo za kila mtu na kila kitu.Alitamka na kila mwenye akili timamu alimwelewa waovu walitulia,Hadi mapepo ya Corona na ujambazi yalitii.Sasa vyote vinarudi kwa kasi ya 5G.Mungu baba ahsante kwa maisha ya Magufuli kabla yake tulikuomba kwa pamoja utupe rais wa aina yake ukatupa,ukatuonjesha tu atufungue macho na tuone tofauti ya uongozi na uongozi.Umemhitaji ukamchukua.Wewe ni Mungu.Ushukuriwe milele.
Je,Unadhani kwanini imekuwa mapema mno utofauti wa juhudi za hayati JPM na uongozi uliopo kuonekana miongoni mwa watanzania?
Empty mindKuna tofauti kati ya matukio ya uhalifu kuongezeka na matukio ya uhalifu kuripotiwa.
Kinachoendelea sasa kwa sehemu kubwa ni matukio ya uhalifu kuzidi kuripotiwa, maana uhuru na fursa ya kufanya hivyo imerejeshwa.
Kwa mfano, tukio la watu zaidi ya 40 kufariki wakati wa kuaga maiti ya Magufuli halikuwahi kutolewa taarifa rasmi na serikali (idadi hiyo na majina yote kutolewa hadharani) japokuwa ni kweli lilitokea na watu binafsi waliliripoti hadharani.