Naiona timu ya Taifa ya Ukraine inacheza mechi hapa, imekuwaje? Urusi si walisema wameigeuza Ukraine magofu?

Naiona timu ya Taifa ya Ukraine inacheza mechi hapa, imekuwaje? Urusi si walisema wameigeuza Ukraine magofu?

Kwa akili yako unafikiri kuna nchi inaweza kutuma timu yake ikacheze pale ukraine???....... ligi yao yenyewe imeshavurugika...
Mlituambia mnaichukua Ukraine kwa siku tatu. Nashangaa bado hamjaichukua hadi wanapata muda kujiandaa na michezo.
 
Back
Top Bottom