Championship JF-Expert Member Joined Aug 7, 2019 Posts 5,500 Reaction score 10,616 Jun 5, 2022 #1 Naona wanacheza na Wales mechi kali kabisa. Taarifa kwamba ndani ya siku tatu wanaiteka zimefikia wapi? Na zile kwamba nchi imekuwa magofu nazo niaje?
Naona wanacheza na Wales mechi kali kabisa. Taarifa kwamba ndani ya siku tatu wanaiteka zimefikia wapi? Na zile kwamba nchi imekuwa magofu nazo niaje?
M Mchokolo JF-Expert Member Joined Oct 24, 2021 Posts 1,178 Reaction score 2,804 Jun 5, 2022 #2 Championship said: Naona wanacheza na Wales mechi kali kabisa. Taarifa kwamba ndani ya siku tatu wanaiteka zimefikia wapi? Na zile kwamba nchi imekuwa magofu nazo niaje? Click to expand... Hiyo mechi knachezwa ktk nchi gani?
Championship said: Naona wanacheza na Wales mechi kali kabisa. Taarifa kwamba ndani ya siku tatu wanaiteka zimefikia wapi? Na zile kwamba nchi imekuwa magofu nazo niaje? Click to expand... Hiyo mechi knachezwa ktk nchi gani?
ngajapo JF-Expert Member Joined Jun 3, 2012 Posts 1,782 Reaction score 3,525 Jun 5, 2022 #3 Championship said: Naona wanacheza na Wales mechi kali kabisa. Taarifa kwamba ndani ya siku tatu wanaiteka zimefikia wapi? Na zile kwamba nchi imekuwa magofu nazo niaje? Click to expand... Kwa akili yako unafikiri kuna nchi inaweza kutuma timu yake ikacheze pale ukraine???....... ligi yao yenyewe imeshavurugika...
Championship said: Naona wanacheza na Wales mechi kali kabisa. Taarifa kwamba ndani ya siku tatu wanaiteka zimefikia wapi? Na zile kwamba nchi imekuwa magofu nazo niaje? Click to expand... Kwa akili yako unafikiri kuna nchi inaweza kutuma timu yake ikacheze pale ukraine???....... ligi yao yenyewe imeshavurugika...
Championship JF-Expert Member Joined Aug 7, 2019 Posts 5,500 Reaction score 10,616 Jun 5, 2022 Thread starter #4 ngajapo said: Kwa akili yako unafikiri kuna nchi inaweza kutuma timu yake ikacheze pale ukraine???....... ligi yao yenyewe imeshavurugika... Click to expand... Mlituambia mnaichukua Ukraine kwa siku tatu. Nashangaa bado hamjaichukua hadi wanapata muda kujiandaa na michezo.
ngajapo said: Kwa akili yako unafikiri kuna nchi inaweza kutuma timu yake ikacheze pale ukraine???....... ligi yao yenyewe imeshavurugika... Click to expand... Mlituambia mnaichukua Ukraine kwa siku tatu. Nashangaa bado hamjaichukua hadi wanapata muda kujiandaa na michezo.
Drone Camera JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 14,041 Reaction score 13,907 Jun 5, 2022 #5 Walifikiri mambo ni mepesi kiasi hicho!
Nyamizi Platinum Member Joined Feb 19, 2009 Posts 9,186 Reaction score 13,757 Jun 5, 2022 #6 ngajapo said: Kwa akili yako unafikiri kuna nchi inaweza kutuma timu yake ikacheze pale ukraine???....... ligi yao yenyewe imeshavurugika... Click to expand... Ndiyo ushindi wa special operation ya 72 hrs
ngajapo said: Kwa akili yako unafikiri kuna nchi inaweza kutuma timu yake ikacheze pale ukraine???....... ligi yao yenyewe imeshavurugika... Click to expand... Ndiyo ushindi wa special operation ya 72 hrs