buhoro ksl
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 248
- 246
Chonde chonde viongozi wangu hasa GSM itilieni mkazo mechi hii na msipoanglia kwa umakini inaweza ikawa chanzo cha nyie kuondoka Yanga.
Atleast yanga hiii inatakiwa kufika group stage caf champions leage.
Atleast yanga hiii inatakiwa kufika group stage caf champions leage.