buhoro ksl
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 248
- 246
Kabla ya TPL kuanza Yanga haitakuwa mshiriki wa CAFCL
we ni mjinga sana na kama siyo mjinga basi wewe nimchawi....hapa sijaliizungumzia li mikia....aka mbumbumbuKabla ya TPL kuanza Yanga haitakuwa mshiriki wa CAFCL
At leat ndio nini?Chonde chonde viongozi wangu hasa gsm itilieni mkazo mechi hii...na msipoanglia kwa umakini inaweza ikawa chanzo cha nyie kuondoka yanga.....atleaet yanga hiii inatakiwa kufika group stage caf champions leage
Hayo ni ya kwako, mda ndo mwamzi unaweza sema sana ukaishia kucheza mechi mbili tu.Kabla ya TPL kuanza Yanga haitakuwa mshiriki wa CAFCL
Ndo umeongea nini sasa na wwKufikia level hizo si kwa kutamka au kutaka tu,wekezeni kwenye mpira na sio kuwekeza kufanya biashara kwa kutumia fanbase kubwa ya yanga.
Umekasirika?we ni mjinga sana na kama siyo mjinga basi wewe nimchawi....hapa sijaliizungumzia li mikia....aka mbumbumbu
GSM analitaka soko la DRC kwa biashara zake, alichofanya ni kutafuta kujulikana huko kwa mbinu ya kusajili Wacongo kibaaaaaao kwa interest zake kibiashara na si kwa mapenzi au matakwa ya Benchi la ufundi.Utopolo Akili Zao wanazijua Wenyewe. Hawatalaumu GSM kwa Kusajili ndombolo ya Solo....! Hapo mchawi atakuwa TFF Watasahau hata kupata hiyo Nafasi 'WAMEBEBWA' na Simba..!
Kama kweli wewe ni shabiki wa Yanga, basi utakua umetudhalilisha sana mashabiki wenzako! Kwa huu mtazamo wako, ulistahili kabisa kuwa shabiki wa mbumbumbu fc!Chonde chonde viongozi wangu hasa gsm itilieni mkazo mechi hii...na msipoanglia kwa umakini inaweza ikawa chanzo cha nyie kuondoka yanga.....atleast yanga hiii inatakiwa kufika group stage caf champions leage
Kabla ya TPL kuanza Yanga haitakuwa mshiriki wa CAFCL
Naona mnamshambulia sana mleta mada lakini alichokiongea kinaweza kutokea kwa mashabiki wa Yanga. Yanga inapaswa kuwekeza akili kwenye mechi dhidi ya Rivers Utd lakini mpaka sasa hawajacheza mchezo wowote ule wa kirafiki ili kuona palipo na mapungufu.Kama kweli wewe ni shabiki wa Yanga, basi utakua umetudhalilisha sana mashabiki wenzako! Kwa huu mtazamo wako, ulistahili kabisa kuwa shabiki wa mbumbumbu fc!...