iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Kuna mtu nlimpa Bajaj ya mzigo kwa mkataba na amekimbia nayo hajulikani alipo, nikipiga simu hapokei na muda mwingne haipatikani kabisa. Ntaweze kumpata mtu huyu?
Mzamini wake ni mama yake mzazi, je mnanishauri nichukue hatua gani ili niweze kuipata bajaj yangu?
Mzamini wake ni mama yake mzazi, je mnanishauri nichukue hatua gani ili niweze kuipata bajaj yangu?